Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Ila inaonekana members walimu wengi sana, wamemind kchz

Forrester ya mabox labda, mtu kafufua kaburi lako apo juu unaomba kaz ya kusimamia necta
Ivi uko shule mnaendaga kusomea ujinga??
Kwani kuomba kazi ya necta na kumiliki gari vinahusiana nini
 
MHAYA KWENYE UBORA WAKE....POPOTE WALIPO LAZIMA WAJITAMBULISHE.
 
What makes u think kwamba ni subaru ya 2008, kama ni model ya 2024 je?
Ivi uko shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Nafikiri kuna uwezekano mkubwa ulikusudia kumnukuu mtu tofauti nami.

Hakuna popote nilipotaja Subaru ya 2008.
 
Mkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
nature ni halisi haikupi kitu cha maana kama kidogo unanyanyua bega hio ndio saizi yake akipata hizo atakanyaga watu kichwani.
 
nature ni halisi haikupi kitu cha maana kama kidogo unanyanyua bega hio ndio saizi yake akipata hizo atakanyaga watu kichwani.
Ivi uko shuleni mnaendaga kusomea ujinga?
Kwann focus imetoka kwenye kujadili hali duni za walimu kwenda kujadili subaru?
 
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Hapa utakuta kote huku ni kujifariji, Kuna ticha amekula Mkeo/ pisi yako.. just umewaona tu ukajua ni walimu Tena walimu wakuu?.
NB. Kuna walimu Zaid ya 20 ninaoa wajua Wana push hizo Subaru XT mbona ni gar la Kila mtu!...
Any wayssss ni Ngoja nifundishe biology form two A,, afu Nika service I ST yangu
 
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
IST kwa sasa ina bei kubwa kuliko hiyo gari wanayoshangaa walimu chukua hii itakusaidia.
 
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Ushamba na ulimbukeni unakusumbua yaani hako kasubaru forester ndio unaona umeula ? Yaani we kila anaekuangalia unadhanì anakuangalia sababu ya hiyo gari? Inawezekana mkeo analiwa na mkuu mmoja wa sbule sasa hapo ndio wanaambiana jamaa mwenyewe ndio huyu ambae mkewe analiwa na mwalimu mashishanga
 
Kazi ni ipi?,kupiga debe,kuuza maji,kushona viatu,bwana shamba ,ukulima au na wengi wenu hapa hata kazi ya maana ya kuingiza kipato cha maana hamna mnajificha kwenye kichaka cha kudis walimu
Vijana wengi wa humu ni hopeless kama umeshagundua hilo
 
Aliyepost anamihemko ya kishoga kisa yeye anagawa jicho lake ndio anataka walimu wamfuate shenzi sana WALIMU PIGENI KAZI MUNGU ATAWABARKI R.I.P BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS K. NYERERE
 
Kwani Kuna siku hao walimu walikuomba hela ya kula? Acha dharau dogo
 
Back
Top Bottom