Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 244
- 491
- Thread starter
-
- #321
Ivi uko shule mnaendaga kusomea ujinga??Ila inaonekana members walimu wengi sana, wamemind kchz
Forrester ya mabox labda, mtu kafufua kaburi lako apo juu unaomba kaz ya kusimamia necta
What makes u think kwamba ni subaru ya 2008, kama ni model ya 2024 je?Huwezi kujua aliyopitia kupata hilo gari, inawezekana ni mtu wa kwanza kwenye ukoo wao kuwa na gari bado analimbuka.
Nafikiri kuna uwezekano mkubwa ulikusudia kumnukuu mtu tofauti nami.What makes u think kwamba ni subaru ya 2008, kama ni model ya 2024 je?
Ivi uko shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
nature ni halisi haikupi kitu cha maana kama kidogo unanyanyua bega hio ndio saizi yake akipata hizo atakanyaga watu kichwani.Mkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
Ivi uko shuleni mnaendaga kusomea ujinga?nature ni halisi haikupi kitu cha maana kama kidogo unanyanyua bega hio ndio saizi yake akipata hizo atakanyaga watu kichwani.
Kwahiyo unaponda walimu wenzio master?What makes u think kwamba ni subaru ya 2008, kama ni model ya 2024 je?
Ivi uko shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Hapa utakuta kote huku ni kujifariji, Kuna ticha amekula Mkeo/ pisi yako.. just umewaona tu ukajua ni walimu Tena walimu wakuu?.Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!
Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
IST kwa sasa ina bei kubwa kuliko hiyo gari wanayoshangaa walimu chukua hii itakusaidia.Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!
Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
👏👏👏Mkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
Ushamba na ulimbukeni unakusumbua yaani hako kasubaru forester ndio unaona umeula ? Yaani we kila anaekuangalia unadhanì anakuangalia sababu ya hiyo gari? Inawezekana mkeo analiwa na mkuu mmoja wa sbule sasa hapo ndio wanaambiana jamaa mwenyewe ndio huyu ambae mkewe analiwa na mwalimu mashishangaJuzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!
Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Hahaa we kweli mshamba huku handeni kuna mwalimu anamiliki mabasi yanaenda dar handeniMagari ya walimu? Wayatoe wapi! Niletee mwalimu anaemiliki gari ata ya 20m nikupe mara mbili ya hiyo
Kazi ni ipi?,kupiga debe,kuuza maji,kushona viatu,bwana shamba ,ukulima au na wengi wenu hapa hata kazi ya maana ya kuingiza kipato cha maana hamna mnajificha kwenye kichaka cha kudis walimuanasema kweli ualimu sio kazi, sema tu uwasilishaji wake ndio changamoto
Vijana wengi wa humu ni hopeless kama umeshagundua hiloKazi ni ipi?,kupiga debe,kuuza maji,kushona viatu,bwana shamba ,ukulima au na wengi wenu hapa hata kazi ya maana ya kuingiza kipato cha maana hamna mnajificha kwenye kichaka cha kudis walimu