Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Mtoa mada ulikuwa hujashtukia tuu.
Hao walimu wakuu walikuwa wanakushangaa ww kwa mashauzi na mbwembwe zoote kwa kasubaru tuu akati wao huko home kwenye nyumba zao wamepaki midude ya maana ni vile tuu walitakiwa kupanda gari la pamoja ndo maana wakaletwa na hilo likosta unalosema ni bovu.
Choo ni Choo tuu dogo dhumuni ni kupokea Mavi.
 
matusi ya waja baada ya kuvushwa mto na walimu dah 🐒

tunasahau kabisa mchango wa hawa watu kwenye msingi wa maisha yetu, ufahamu, uelewa na mafanikio tulonayo sasaivi 🐒

ni vizuri kuwa watu wa shukran na waungwana kwa walimu regardless hali zao. Lakini wametoa tongotongo mpka upo hapo leo🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…