Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 244
- 491
- Thread starter
- #61
Acha hasira madam rose .tulia!Issue za walimu zipo kwenye dawati la Mpwayungu Village hakuna atakayekuja na jipya.
Tatizo langu ni huyu mwenye baby walker nayo anaona NI gari ya kuja kuongelea mbele ya wanaume?
Sasa angenunuwa Dungu Kwa Chris Lukosi si angemtukana mpaka Maxence Melo?