Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Tatizo lako ni utoto, ushamba, ulimbukeni, uzoefu mdogo kwenye maisha na mwisho huna hekima hata kidogo. Hapo na hiyo Subaru yako unaona umemaliza maisha , na hao walimu ni wajinga, wavivu na washamba, time will.
 
Nina uhakika ukitembea unabinua matako na kulamba lips ukiongea
Bila shaka una ngozi nyororo na macho legevu maana ndio sifa za Subaru ladyboys
 
Nina uhakika ukitembea unabinua matako na kulamba lips ukiongea
Bila shaka una ngozi nyororo na macho legevu maana ndio sifa za Subaru ladyboys
Huyo jamaa ni mwalimu,
 

Attachments

  • _20240326_102525.JPG
    _20240326_102525.JPG
    411.1 KB · Views: 2
Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Unatambo za kigoroko 😠
 
Unatambo za kigoroko 😠
Huyu ana msongo mkubwa wa mawazo unamsumbuwa anatafuta ahuweni Kwa kukashifu walimu.

 
Ndio waliokufundisha kusoma na kuandika kuwa na shukrani
Sonona inamtesa.
 
Wewe kajamaa unafanana akili na kajamaa flani kana Subaru kanakaa Tegeta karibu na shule za msingi Pius Msekwa,Kunduchi na shule Mpya Tegeta karibu na kanisa la Menomite na Adventist wasabato
Kale kajamaa kana vurugu na ka suburu kake ka rangi ya Blue hua kanapiga kelele pale karibu na chuo cha mzumbe kwenye zile frem saa za usiku kanakera sana kale kajamaa na ushamba wake,
Wale members mliopo karibu najua mnao ushuhuda juu ya ushamba wa baadhi ya vijamaa viendesha Subaru!
 
Wewe kajamaa unafanana akili na kajamaa flani kana Subaru kanakaa Tegeta karibu na shule za msingi Pius Msekwa,Kunduchi na shule Mpya Tegeta karibu na kanisa la Menomite na Adventist wasabato
Kale kajamaa kana vurugu na ka suburu kake ka rangi ya Blue hua kanapiga kelele pale karibu na chuo cha mzumbe kwenye zile frem saa za usiku kanakera sana kale kajamaa na ushamba wake,
Wale members mliopo karibu najua mnao ushuhuda juu ya ushamba wa baadhi ya vijamaa viendesha Subaru!
Ukishaona mtu gari ameiongezea mafla ili ipige kelele hapo hesabu zero kabisa.

Na wamiliki wa gari wenye upumbavu huo NI Subaru na Alteza, huwezi kukuta gari za kishuwa zinaongezewa mafla, V8 lenyewe original likiunguruma ni kama Simba.
 
Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Kwanza wewe ni mwizi tu, fisadi wa kawaida na Subaru Yako ya dhuluma Nyau wewe
 
Madam matola una mimba ya miezi mingapi ? Mbona hasira
Ukishaona mtu gari ameiongezea mafla ili ipige kelele hapo hesabu zero kabisa.

Na wamiliki wa gari wenye upumbavu huo NI Subaru na Alteza, huwezi kukuta gari za kishuwa zinaongezewa mafla, V8 lenyewe original likiunguruma ni kama Simba.
 
Huyu ana msongi mkubwa wa mawazo unamsumbuwa anatafita ahuweni Kwa kukashifu walimu.

Tena nawambia hamna mtu aliyetulia na maisha yake alafu akaanza kufatilia maisha ya wengine,haka ni kakijana kanakobalehe kasiko na mbele wala nyumba hiyo subaru kameiona mtandaoni
 
Back
Top Bottom