Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Na ualimu?Wewe jamaa badilika gari siyo ya kumtushia mtu Kwa sasa hasa hizo Subaru za M18.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ualimu?Wewe jamaa badilika gari siyo ya kumtushia mtu Kwa sasa hasa hizo Subaru za M18.
Na ualimu?Mbona wewe ndo mshamba Sasa forester ndo gari ya kukufanya uwadharau wengine Na kuwaona washamba??.....Mpumbavu Sana wewe
Dah..Mimi sio mwalimu ila hizi ni dharau kwa walimu wako ujue..ila poaJuzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Sema "gari used" hata 40m haifiki. Ila XT brand new 2024 ni zaidi ya $35,000.Sasa kushangaa XT ndo hadi umeanzisha uzi, gari hata 40M haifiki, wewe ndo mshamba zaidi.
Njoo uone walimu wa vijijini ULIEKumbe Ni huko usweken. Njoo Dar uone magari ya walimu.
Wengine Wana miaka hawajachukua pesa benki wanaishi kwa pesa ya tuition.
Una uhakika gani kwamba na yangu ni used?Sema "gari used" hata 40m haifiki. Ila XT brand new 2024 ni zaidi ya $35,000.
Bahati mbaya sisi ni wateja wa used, tunajua tako la nyani ni 30m, kumbeee!
Hahahaha..acha dharau. Mkuu wako walimu wana hizo gari ..nenda olympio pale uoneMagari ya walimu? Wayatoe wapi! Niletee mwalimu anaemiliki gari ata ya 20m nikupe mara mbili ya hiyo
Sina uhakika mkuu, nimequote jamaa alosema XT hata 40m haijafika, kama used ni kweli haifiki/inafika hapo, ila kama brand new ni $40,000 au zaidi.Una uhakika gani kwamba na yangu ni used?
Mbele ya wanaume unakuja kuitaja Subaru kweli wewe ni mzima kichwani?Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Mtu ambaye anahesabu gari ni maendeleo ni wa kumuonea huruma tu.Hahahaha..acha dharau. Mkuu wako walimu wana hizo gari ..nenda olympio pale uone
Madam acha hasiraMbele ya wanaume unakuja kuitaja Subaru kweli wewe ni mzima kichwani?
Mtu ambaye anahesabu gari ni maendeleo ni wa kumuonea huruma tu.
Watu Wana maisha Bora na wanapanda train kwenda makazini.
Issue za walimu zipo kwenye dawati la Mpwayungu Village hakuna atakayekuja na jipya.Njoo uone walimu wa vijijini ULIE
#YNWA
Alafu sijui kwanii wengi wanakua na visogo virefuuJuzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Kwanza kabla ya ku comment napenda nimshukuru Mama Samia!Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Unaupiga mlangoni wa jela Kwa matako, wewe jaa tu nikufundishe adabu.Madam acha hasira