Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu inaonekana ushavurugwa sana. Unacomment, unajiquote then unatoa jibu. Qmmae walah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kwanini asingechangisha kwanza kisha ndio aoe?Anasubiri zawadi ya iPhone 13 ili imuwezeshe kuziweka hapa.
Yani uzi wake tu, ni dalili tosha ashaanza kudata [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anajichanganya hadi ataanza kuchanganyikiwa
kipo bado kipya kabisaa.
Tumepigwa 😆😆😆Mkuu inaonekana ushavurugwa sana. Unacomment, unajiquote then unatoa jibu. Qmmae walah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maisha magumu sana... mama anakaza
Sa itakuwaje??Maisha magumu sana... mama anakaza
Yaani upige mzigo wewe halafu sisi tukuchangie udumishe ndoa! Kama uwezo mdogo wa kumhudumia mkeo si uende kuishi kwa shemeji yako.Amani ya bwana iwafikie popote ulipo, tumekuwa pamoja hapa jf toka 2016 mpaka Leo, ndugu yenu nimefanikiwa kupata jiko jipya sasa tuinuaneni kwa kunichangia kijiko, sahani, bakuli, sufuria ili tuanze maisha salama na shemeji yenu anawasalamia sana.... shem wenu anawaomba mu mnunuliwe iPhone 13 pro max ili aweze kuingia Instagram na picha HD.... kama utaguswa na ndoa hii adhwim tuma chochote mwana jf mwenzangu.
Shida ni pale unapojiuliza swali na kujijibu mwenyewe au ulidhani umeswitch to fekero kumbe ukajisahau??Hamna kuwaita lazima nikoment ili uzi uwe juu.
kwa nini hukusema mapema?
Watu wanastress kinyamaTumepigwa [emoji38][emoji38][emoji38]