Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] mambo ya multiple idkwa nini hukusema mapema?
Mbona unijiuliza mwenyewe ndugu? Si ungesema tu unaomba mchango wa thread yako kuwa uchangiaji lukukikwa nini hukusema mapema?
Mbona unajiuliza sasa. ID yako ya kimkakati ya kuunga mkono ombi lako umeisahauAnataka tumchangie sh. ngapi?
Siku moja ndani ya ndoa!Yani uzi wake tu, ni dalili tosha ashaanza kudata [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na anajijibu mwenyewe 😂Mbona unajiuliza mwenyewe mkuu?
Yupi tena? Kwani huyo ni mke wa mapacha! Utakuwa umesahau kuwa wewe ndiye uliyeoa.Jamani mpo humu tumchangie mwenzetu
Jamani mpo humu tumchangie mwenzetu
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu inaonekana ushavurugwa sana. Unacomment, unajiquote then unatoa jibu. Qmmae walah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]