Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Niambie Mtani. Naona jamaa anaiota ndoa Mtani. 😅Mtani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niambie Mtani. Naona jamaa anaiota ndoa Mtani. 😅Mtani
Aendelee kuota, uliadimika kinoma nomaNiambie Mtani. Naona jamaa anaiota ndoa Mtani. 😅
Mambo zilibana kidogo Mtani. Ila nimerudi sasa.Aendelee kuota, uliadimika kinoma noma
Karibu tenaMambo zilibana kidogo Mtani. Ila nimerudi sasa.
🙏 🤝Karibu tena
upo sawa kwel kijanaAnataka tumchangie sh. ngapi?
Aisee makubwa haya,unajijibu mwenyeweHata elfu 20
Nielekeze home takuletea chochote kituJamani mpo humu tumchangie mwenzetu
Hii chapati mbona inajijibu yenyewe
Kuliko ujijibu mwenyewe ni bora umfungulie na mke wako account awe anakujibu
Picha hiyo hapo mkuuWapi picha za harusi mkuu??
Sasa si atakuwa anapigwa huyu ndugu yetu?? Ameoa mbavuPicha hiyo hapo mkuuView attachment 2060546
[emoji38][emoji38][emoji38]Anasubiri zawadi ya iPhone 13 ili imuwezeshe kuziweka hapa.