Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Mbona unajiuliza mwenyewe mkuu?
Amani ya bwana iwafikie popote ulipo, tumekuwa pamoja hapa jf toka 2016 mpaka Leo, ndugu yenu nimefanikiwa kupata jiko jipya sasa tuinuaneni kwa kunichangia kijiko, sahani, bakuli, sufuria ili tuanze maisha salama na shemeji yenu anawasalamia sana.... shem wenu anawaomba mu mnunuliwe iPhone 13 pro max ili aweze kuingia Instagram na picha HD.... kama utaguswa na ndoa hii adhwim tuma chochote mwana jf mwenzangu.
Whatsapp yako inapokea hela mkuu.Amani ya bwana iwafikie popote ulipo, tumekuwa pamoja hapa jf toka 2016 mpaka Leo, ndugu yenu nimefanikiwa kupata jiko jipya sasa tuinuaneni kwa kunichangia kijiko, sahani, bakuli, sufuria ili tuanze maisha salama na shemeji yenu anawasalamia sana.... shem wenu anawaomba mu mnunuliwe iPhone 13 pro max ili aweze kuingia Instagram na picha HD.... kama utaguswa na ndoa hii adhwim tuma chochote mwana jf mwenzangu.
[emoji1][emoji1][emoji1]Pombe za kirismas bhana oyaah bia tamuh
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwa nini hukusema mapema?
Dah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu inaonekana ushavurugwa sana. Unacomment, unajiquote then unatoa jibu. Qmmae walah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona umesema uko Kigoma,tuko Kibondo...karibu sana.Nije wapi