Nimefanikiwa kupambana na kunguni na kuwapunguza kwa kiasi kikubwa sana

Suluhisho pekee la Kunguni ni Maji ya Moto. Chemsha Maji yapate Moto kwa kiwango cha Juu kabisa halafu kamwagie Sehemu zote zenye Mazalia yao. Fua vitu vyote halaf anika Juani baada ya hapo kunguni utawasikia kwa wengine
Hahahhaa ,unajua ukimwagia maji ya moto ndo unaharakisha mayai kutotoa ? hata ukimwagia maji kunguni hafi na anaweza akakaa muda mrefu hata miezi 6 bila hata ya kula
 
Hahahhaa ,unajua ukimwagia maji ya moto ndo unaharakisha mayai kutotoa ? hata ukimwagia maji kunguni hafi na anaweza akakaa muda mrefu hata miezi 6 bila hata ya kula
Dawa ya kunguni,sabuni ya unga,chumvi na mafuta ya taa changanya mwagiwa...wanaisha wotee

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Tangazo la biashara hili mkuu, uwalipe JF.
 
Kunguni Ni uchafu Kama unafua nguo na matandiko frequently sahau kuhusu kunguni,wanakaa mpaka kwenye nyufa,sofa ,dogoro Kama haoina cover ndio ususeme,hata mafuta ya taa yanaua pia Kama una kunguni deki Mara kwa Mara,fua neti
 
Kunguni Ni uchafu Kama unafua nguo na matandiko frequently sahau kuhusu kunguni,wanakaa mpaka kwenye nyufa,sofa ,dogoro Kama haoina cover ndio ususeme,hata mafuta ya taa yanaua pia Kama una kunguni deki Mara kwa Mara,fua
 
Kunguni Ni uchafu Kama unafua nguo na matandiko frequently sahau kuhusu kunguni,wanakaa mpaka kwenye nyufa,sofa ,dogoro Kama haoina cover ndio ususeme,hata mafuta ya taa yanaua pia Kama una kunguni deki Mara kwa Mara,fua neti
Tema mate chini kunguni ni hatari
 
Mkitaka kuwaua kunguni mix hivi vifuatavyo, Maji thinner or tiner (if I'm right) Ile ya ambayo hutumika kwenye rangi, sabuni ya unga au ukitaka weka kerosene Ila mostly ni thinner na sabuni.
Nilifanya zoezi Hilo Kwa kuwakamata na kuwaweka kwenye kopo wengi na kujaribu and it work instantly na hawarudi.
Ukiwapulizia thinner huwa wanainua juu abdomen (tumbo) zao ili kupata oxygen maana ndo kuna tundu za upumuliaji, hivyo hakikisha all corner za nyumba, nyufa, makutano ya sofa na sehemu zenye giza sababu hawapendi light πŸ˜„.
Hawarudi tena
 
Kunguni hawasababishwi na uchafu. Hii ni kwa sababu hali uchafu au kupendelea kuishi pachafu.

Kunguni unaweza kumkuta hata katika 5 stars hotel. Ni kwamba mwanadamu anapolala huwa anatoa harufu fulani (pheromone) ambayo humvutia sana kunguni na harufu hiyo hutolewa na mwanadamu tu ndio maana huwezi kukutana kunguni kwenye banda la mifugo wala jikoni bali utakuwa chumbani.

Kunguni huweza kutumia 95% ya maisha yake mafichoni. Na atatoka kwenda Kula au kuhama maficho.
Kunguni wamekuwa sugu kwa sababu ya matumizi holela ya viuwatilifu ambapo husabibisha watengeneze chemical resistance. Hivyo matumizi sahihi ya viuwatilifu ni muhimu sana katika mapambano.

Natoa huduma ya fumigation kwa gharama nafuu popote nchini Tanzania. Napatikana kwa namba 071813106. Nipo Morogoro.
 
Hao wahalifu wanayapata sehemu gani,ama uku mtaani hayauziki,kama ni dawa ya kuua kunguni kama ulivyosema serikali hawajua
 
Pole sn
Ila Wana dawa Yao ukienda maduka ya madawa ya mifugo!
Kikopo kidogo tu, aisee unachanganya na maji kita 4 tu, yaani ilibaki story
 
mpo uchumi wa kati aisee pongezi ziende kwa awamu ya tano
Anyway nilikua suwajui kunguni mbaka siku nilipokua Huko Unguja Zanzibar kwenye Bungalow za Hotel moja ya huko Nungwi aaaah aisee wale wadudu ni kijiji wanauma na hata hawasikii dawa yani!
Wanaletwa na wazungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…