Nimefanikiwa kupambana na kunguni na kuwapunguza kwa kiasi kikubwa sana

Nimefanikiwa kupambana na kunguni na kuwapunguza kwa kiasi kikubwa sana

Heeee yaani mna mpaka prado mna net ya maana mapazia ya bei nyumba ina rangi lakini hao wadudu wanaingia, pole
Usishangae sana, me nililetewa hao wadudu na msichana wa kazi toka kijijini kwao. Unaweza kuwapata kwa namna tofauti. Kama mwanao anasoma shule za bweni hasa za serikali ni rahisi kuja nao. Kwa tuliopitia Ndanda boys na songea boys kuleta kunguni nyumbani kipindi cha likizo ilikuwa kawaida.
 
Hao wadudu washenzi sana

Hizo dawa hazitosaidia kitu

Dawa yao ni maji ya moto

Nyunyuzia kila kitu kuanzia nguo Hadi magodoro yote yaliyowe chapa chapa na maji ya moto Yale yalichemka Sana

Kila Kona nyunyuzia maji ya moto uue mazalia yao na wao wenyewe

Usipofanya hizo watakuwa wapangaji wa kudumu hapo kwako
 
Kunguni wanakera sana, unakosa usingizi wakati mwingine unadhalilika!

Basi bwana kuna hii dawa inaitwa diazinone, niliitumia mwaka 2015 na nikafanikiwa kuwaangamiza hawa wadudu korofi.

Ghafla tena naitwa nyumbani kwamba wadudu wanasumbua, njoo utupe msaada, nikaenda kweli nikakuta wamejaa kwenye neti, godoro mpaka kitandani, hadi watoto wamehamishiwa vyumba vingine.

View attachment 1938474View attachment 1938476

Nilivyoona hii hali basi nikaingia mjini na sh elfu 10 tu nikiwa na uhakika hii inamaliza kila kitu.

Kweli, nikapata dawa chupa 1 sh elfu 2.5 nikachukua 2 kwa elfu 5.

Chupa ya spray nikabeba kwa elfu 4.

View attachment 1938493

Chupa 1 unachanganya na lita 2 za maji safi.

View attachment 1938504

Kisha unakoroga vizuri (hakikisha kama unaweza uvae gloves, barakoa kuoa suffocation, PPE ni muhimu maana hii ni sumu hatari sana)

Nikachanganya dawa vizuri na maji mpaka ikawa kama maziwa

View attachment 1938512

Baada ya hapo nikaweka kwenye chupa nikaanza spray, vitu vyote lazima viwe katika sehemu ya wazi yenye hewa na mwanga wa kutosha ili mdudu aonekane vizuri na kuepuka suffocation.

Kusema kweli hii dawa ilileta matokeo mazuri sana mpaka sasa wadudu wamepungua kwa asilimia 90
Sikia fungua kitanda na godoro ukiona kuna alama nyeupe nyeupe km chak piga dawa mjomba hayo ni mayai yke mm nishatajgaza vita nikiona utando mweupe tu nalala nar
 
kunguni sio uchafu mzee hawa wadudu hawana adabu tu
nakumbuka mwaka fulani MAREKANI kunguni lilikuwa JANGA kubwa kwao mpk likajadiliwa kwenye BUNGE nakumbuka kipindi hicho RAISI alikuwa OBAMA
hoja ilikuwa KUNGUNI wao dawa zote zimegonga mwamba na wanekuwa wengi mno

HUKO uganda JESHI la KULINDA nchi liliingilia kati na kuchukua OPERESHENI maalum ya kuwa tokomeza Baada ya wananchi kuomba msaada zaidi toka serikalini


hawa wanajeshi wanaweza kukaa kimya mwaka mzima tena bila hata ya kula
wakiwa wanafanya tafiti zao katika maabara kutengeneza chanjo zao kukabiliana na madawa mbalimbali

na dawa ikiwa kali sana kwao inawaua
wanachukua sample na kuisambaza katika maabara zao dunia nzima na kuifanyia uchunguzi mpk wanapata SOLUTION
ndio ile unakuta wametulia hata mwaka mzima lkn ghafla wanaibuka tena na ukitumia hiyo dawa tena haiwadhuru kumbe wajomba washaifanyia utafiti na kupata ANTDOTE yake

hawa wadudu inahitajika kampeni ya mwakamzima wewe ukisikia dawa yoyote unawapelekea moto tu hata kma unaona wameisha inakupaswa kila baada ya wiki 2 au mwenzi unapuliza dawa tofauti tofauti
Niliwahi kusikiliza makala ya kunguni BBC nikashangaa sana. Hawa wadudu ili kuwaangamiza kabisa kunahutajika mchanganyiko wa sumu karibia 1,000.
Tuliokulia maeneo yenye baridi tumekuja kuwajua hawa wadudu, ukubwani.

Ila ni wadudu wanaojua kukera haswaa.
 
Kaka hii sio tangazo, its real hapo ni nyumbani kwa bro.

hio dawa nilishauriwa na daktari wa mifugo miaka 6 iliyopita. Ikanisaidia sana mpaka leo imenisaidia

nipo mwanza, IGOMA!
Diaznone ni sumu ya miaka mingi sana na ubora wake umebaki kuwa uleule,mimi naijua tangu miaka ya 80.Ni sumu kali sana ambapo unahitajika umakini kwa mtumiaji hasa akiwa na watoto wadogo na wenye umri mdogo.
Sumu hii watu ambao walikuwa wakiamua kuchukua uhai wao wenyewe kwa kujiua walikuwa wakiitumia mungu awasamehe huko walipo na awarehemu.Umenikumbusha kitu na hii sumu.
Kuna rafiki yake na kakaangu wa kike walikuwa wamemaliza wote ' O' level kile kipindi cha kusubiria matokeo au walishapata matokeo sikumbuki alijiua kwa Diaznone na she never left any suicide note.Nadhani aliitwa Dora or Doroth.
Dada yule japo mimi nilikuwa mdogo she was so beautiful na nahisi kakaangu alikuwa ana mla maana walikuwa karibu sana wanatembeleana kila mara.Watu tulishangaa sana mtaani.Alipojiua Doro kakaangu akawa ni kama anaulizwa clue ambayo hakutoa sababu za kujiua kwa Doro eidha kwa kutoxzijua au kwa kukatazwa na Marehemu hata akifa asiwaambie sababu.l was young by then.
Alikutwa anekufa na vichupa vya Diaznone.Nitamuuliza kaka yangu kuhusu kifo cha Doro ili nifahamu machache maana sijawahi kuuliza lakini atakuwa yeye anakumbuka!
 
Diaznone ni sumu ya miaka mingi sana na ubora wake umebaki kuwa uleule,mimi naijua tangu miaka ya 80.Ni sumu kali sana ambapo unahitajika umakini kwa mtumiaji hasa akiwa na watoto wadogo na wenye umri mdogo.
Sumu hii watu ambao walikuwa wakiamua kuchukua uhai wao wenyewe kwa kujiua walikuwa wakiitumia mungu awasamehe huko walipo na awarehemu.Umenikumbusha kitu na hii sumu.
Kuna rafiki yake na kakaangu wa kike walikuwa wamemaliza wote ' O' level kile kipindi cha kusubiria matokeo au walishapata matokeo sikumbuki alijiua kwa Diaznone na she never left any suicide note.Nadhani aliitwa Dora or Doroth.
Dada yule japo mimi nilikuwa mdogo she was so beautiful na nahisi kakaangu alikuwa ana mla maana walikuwa karibu sana wanatembeleana kila mara.Watu tulishangaa sana mtaani.Alipojiua Doro kakaangu akawa ni kama anaulizwa clue ambayo hakutoa sababu za kujiua kwa Doro eidha kwa kutoxzijua au kwa kukatazwa na Marehemu hata akifa asiwaambie sababu.l was young by then.
Alikutwa anekufa na vichupa vya Diaznone.Nitamuuliza kaka yangu kuhusu kifo cha Doro ili nifahamu machache maana sijawahi kuuliza lakini atakuwa yeye anakumbuka!
Duh!
inauma sana hio story.
RIP Doroth!
nimemuasa shemeji yangu aweke mbali sana hii sumu
 
Tumieni Lava ,hii ni dawa ya kuua wadudu hasa wa mashamba ,ina uwezo wa kuua na kubaki maeneo uliyo pulizia ikaendeleza sebene,mi nazani kipindi cha nyuma ilikuwa ni 5k sijui kwa leo.kale kadumu kake kadogo nazani wanachanganya lita kazaa za maji ,wewe changanya kiasi tu cha maji ,unachohitaji mana hutamaliza dawa yote.komesha na haina harafu
 
Sawa sawa mkuu ila ukitaka iwe mujarabu unatia na chumvi lazma wakasimulieane uko akhera!
Sure mkuu nlishwai changanya Sabuni ya unga,mafuta ya taa na chumvi nkanyunyiza ..Adse sijawahi kuwaona tena
 
Hawa wadudu washenzi sana. Hiyo dawa imenifaa pia. Inapendekezwa maji hayo yawekewe sabuni ya unga. Ifanyike mara kadhaa hata kwa muda wa wiki mbili mpaka tatizo litakapoisha. Aidha, inapofanyika hivyo si budi kuanika baadhi ya vitu nje mfano. Godoro, chaga, n.k
Maribabu ya fangasi nimeyafanya lakini pia bado sijaona nafuu.
Kuhusu kurudia boxer siwezi ila inaweza tokea mnasafiri mkalala njian na kesho safar inaendelea. Issue ni kuwa sio voxer tu hata suruali haivaliki siku mbili.
 
Diaznone ni sumu ya miaka mingi sana na ubora wake umebaki kuwa uleule,mimi naijua tangu miaka ya 80.Ni sumu kali sana ambapo unahitajika umakini kwa mtumiaji hasa akiwa na watoto wadogo na wenye umri mdogo.
Sumu hii watu ambao walikuwa wakiamua kuchukua uhai wao wenyewe kwa kujiua walikuwa wakiitumia mungu awasamehe huko walipo na awarehemu.Umenikumbusha kitu na hii sumu.
Kuna rafiki yake na kakaangu wa kike walikuwa wamemaliza wote ' O' level kile kipindi cha kusubiria matokeo au walishapata matokeo sikumbuki alijiua kwa Diaznone na she never left any suicide note.Nadhani aliitwa Dora or Doroth.
Dada yule japo mimi nilikuwa mdogo she was so beautiful na nahisi kakaangu alikuwa ana mla maana walikuwa karibu sana wanatembeleana kila mara.Watu tulishangaa sana mtaani.Alipojiua Doro kakaangu akawa ni kama anaulizwa clue ambayo hakutoa sababu za kujiua kwa Doro eidha kwa kutoxzijua au kwa kukatazwa na Marehemu hata akifa asiwaambie sababu.l was young by then.
Alikutwa anekufa na vichupa vya Diaznone.Nitamuuliza kaka yangu kuhusu kifo cha Doro ili nifahamu machache maana sijawahi kuuliza lakini atakuwa yeye anakumbuka!
Muulize basi

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kunguni wanakera sana, unakosa usingizi wakati mwingine unadhalilika!

Basi bwana kuna hii dawa inaitwa diazinone, niliitumia mwaka 2015 na nikafanikiwa kuwaangamiza hawa wadudu korofi.

Ghafla tena naitwa nyumbani kwamba wadudu wanasumbua, njoo utupe msaada, nikaenda kweli nikakuta wamejaa kwenye neti, godoro mpaka kitandani, hadi watoto wamehamishiwa vyumba vingine.

View attachment 1938474View attachment 1938476

Nilivyoona hii hali basi nikaingia mjini na sh elfu 10 tu nikiwa na uhakika hii inamaliza kila kitu.

Kweli, nikapata dawa chupa 1 sh elfu 2.5 nikachukua 2 kwa elfu 5.

Chupa ya spray nikabeba kwa elfu 4.

View attachment 1938493

Chupa 1 unachanganya na lita 2 za maji safi.

View attachment 1938504

Kisha unakoroga vizuri (hakikisha kama unaweza uvae gloves, barakoa kuoa suffocation, PPE ni muhimu maana hii ni sumu hatari sana)

Nikachanganya dawa vizuri na maji mpaka ikawa kama maziwa

View attachment 1938512

Baada ya hapo nikaweka kwenye chupa nikaanza spray, vitu vyote lazima viwe katika sehemu ya wazi yenye hewa na mwanga wa kutosha ili mdudu aonekane vizuri na kuepuka suffocation.

Kusema kweli hii dawa ilileta matokeo mazuri sana mpaka sasa wadudu wamepungua kwa asilimia 90
Ni wapi huko bado kunguni wapo?! Nafikiri walikwisha miaka ya 80’s?!
 
Back
Top Bottom