Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii unaanzajeUngekua kijana mpambanaji fanya ya chuma chakavu.
Mtaji anza na milioni 5.
KAZI ni kipimo cha UTU
Nakushauri kanunue kibanda cha kuishi kama ujawahi kufanya biashara kabla..Kwaiyo 15ml ndiyo kombolela?
Ipeleke hiyo hela UTT halafu ikopee bank, hapo utaweza pata around 12M kwenye mkopo, fanyia biashara unayotaka , biashara ikifaulu lipa mkopo umalizane na bank , biashara ikifeli , miaka 8 baadae utakuwa na 15M plus na interest utajiuliza upya tenaWakuu.
Nipo DSM nimeuza Nyumba ya urithi na kupata mgao wa mil 15 .
Naomba ushauri nifanye Biashara gani yenye low risk .
Niliwaza hizi Biashara
Money transactions
Duka la vipodozi ambalo litakuwa na cheap products .
Duka matumizi ya Nyumbani .
Biashara zote hizi nimezitengea mtaji mil 10 na mfanyakazi atakuwa mdogo wangu ambaye namuani Ila Kwa sasa Anasoma Kemeboss Form four nategmea akimaliza shule ndo nimtumie in my hustle.
Ushauri guyz
Hahaha,Tafuta odd tatu za uhakika weka mzigo wote then subili dakika 90
Hata wewe unatamani miradi ya baba yako asimamie mama yako na sio baba mdogo wako.Sio kweli,mbina mnaamini wake zwnu ila sio ndugu acgeni ujinga
Kuna jamaa hapa maili mbili kwa mudi kama kakopi idea yako vile. ...ila mkuu hyo business hakikisha una uhakika wa wateja coz jamaa japo anauza ila anavyotupa pia vngLeta 10ml tufungue genge la bei ya jumla dodoma utanishukuru baadae ,unauza vitu kutoka shambani unageuka soko dogo badala ya watu wote kwenda Sabasaba wanaishia kwako sija kulazimisha nime kupa wazo ambalo miezi miezi miwili ijayo naenda kulifanya
Pili fungua duka la electronics
Hamna mkuu huyu dogo amezaliwa 2010 na sasa yupo form four na sio kemebos tu primary kasomea Entebe na wajukuu wa Museven .Yaani mnalipa mamilioni ya Ada kemebos Ili uje umuajiri huyo mdogo wako kwenye tigo Pesa!
Wastage of resources!
Namba nne irudie Tena 😂Biashara zipo nyingi,
Ila kitendo cha kuanza kumshirikisha mdogo wako ni dhahiri unaizika biashara kabla hujaianza.
1.ajili biashara yako waone BRELA.
2.Jenga ukaribu na TRA.usisubiri task force ndiyo ulipe.
3.Weka bidhaa zilizothibitishwa na TBS,
4.Tafuta mganga , sheikh,mchungaji,mzuri aizindike hiyo biashara
Tunasherehesha jukwaa tu mkuu🤣Namba nne irudie Tena 😂
Mjukuu wa musevenHamna mkuu huyu dogo amezaliwa 2010 na sasa yupo form four na sio kemebos tu primary kasomea Entebe na wajukuu wa Museven .
So dogo ana akili Sana za Biashara ndo maana nahitaji kuanza nae maana mpango uliopo akimaliza form four ataenda ulaya baadae matokeo yakitoka .
😂😂 Nakumbuka nyuzi yako moja ukaingia Moro ndani ndani kujiweka sawa 😝Tunasherehesha jukwaa tu mkuu🤣