mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
2010 ni mdogo sana,atatapeliwa kirahisiHamna mkuu huyu dogo amezaliwa 2010 na sasa yupo form four na sio kemebos tu primary kasomea Entebe na wajukuu wa Museven .
So dogo ana akili Sana za Biashara ndo maana nahitaji kuanza nae maana mpango uliopo akimaliza form four ataenda ulaya baadae matokeo yakitoka .