Nimefanikiwa kupata mil 15 naomba ushauri maana hii ndo risasi yangu ya mwisho katika bunduki

Nimefanikiwa kupata mil 15 naomba ushauri maana hii ndo risasi yangu ya mwisho katika bunduki

Hamna mkuu huyu dogo amezaliwa 2010 na sasa yupo form four na sio kemebos tu primary kasomea Entebe na wajukuu wa Museven .

So dogo ana akili Sana za Biashara ndo maana nahitaji kuanza nae maana mpango uliopo akimaliza form four ataenda ulaya baadae matokeo yakitoka .
2010 ni mdogo sana,atatapeliwa kirahisi
 
Nakushauri kanunue kibanda cha kuishi kama ujawahi kufanya biashara kabla..

Kama upo dar nenda chamazi, kibaha,chanika tafuta kibanda cha 13 au 14ml, iliyobaki ndio uchezee.

Huu ndio ushauri wa maana kulingana na maelezo yako.
1. Huna unauzoefu na biashara
2. Kumuajiri mdogo wako asimame biashara zako.

Nunua nyumba, inayobaki Fanya unachotaka
 
Wakuu.

Nipo DSM nimeuza Nyumba ya urithi na kupata mgao wa mil 15 .


Naomba ushauri nifanye Biashara gani yenye low risk .

Niliwaza hizi Biashara

Money transactions
Duka la vipodozi ambalo litakuwa na cheap products .


Duka matumizi ya Nyumbani .

Biashara zote hizi nimezitengea mtaji mil 10 na mfanyakazi atakuwa mdogo wangu ambaye namuani Ila Kwa sasa Anasoma Kemeboss Form four nategmea akimaliza shule ndo nimtumie in my hustle.

Ushauri guyz
Usiajiri mtu kwa kuanzia, anza wewe ili uifanye ujue mtiririko wa mauzo na faida ipo vipi, baada ya mwaka sasa hapo ajiri mtu ukishaseti kila kitu mahali pake
 
Angalia bishara itakayohitaji mtaji mdogo kwanza, uifanye upate uzoefu kisha utakua unakuza na pesa nyingine.

Kwa herufi kubwa SIMAMIA BIASHARA YAKO MWENYEWE!!! tena kwakua ndio inaanza kaa mwenyewe kama unajua hauna muda hiyo pesa kanywe tu mkuu.
 
Wakuu.

Nipo DSM nimeuza Nyumba ya urithi na kupata mgao wa mil 15 .


Naomba ushauri nifanye Biashara gani yenye low risk .

Niliwaza hizi Biashara

Money transactions
Duka la vipodozi ambalo litakuwa na cheap products .


Duka matumizi ya Nyumbani .

Biashara zote hizi nimezitengea mtaji mil 10 na mfanyakazi atakuwa mdogo wangu ambaye namuani Ila Kwa sasa Anasoma Kemeboss Form four nategmea akimaliza shule ndo nimtumie in my hustle.

Ushauri guyz
Anzisha biashara ya kununua na kuuza kuku mwanangu.
 
Back
Top Bottom