Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirani za masiku?Angalia bishara itakayohitaji mtaji mdogo kwanza, uifanye upate uzoefu kisha utakua unakuza na pesa nyingine.
Kwa herufi kubwa SIMAMIA BIASHARA YAKO MWENYEWE!!! tena kwakua ndio inaanza kaa mwenyewe kama unajua hauna muda hiyo pesa kanywe tu mkuu.
Hapa kwenye chuma chakavu wateja wake wakuu watakua mateja, sasa hapa kulala oysterbay ni dakika 0 tuu, watapiga dili huko waibe wakuleteeUngekua kijana mpambanaji fanya ya chuma chakavu.
Mtaji anza na milioni 5.
KAZI ni kipimo cha UTU
Mkuu hii ungefunguka zaidi, akishapata mkopo marejesho ataanza lini, coz kwa biashara mpya kuanza direct na mkopo, atakua kwenye pressure kubwa sanaIpeleke hiyo hela UTT halafu ikopee bank, hapo utaweza pata around 12M kwenye mkopo, fanyia biashara unayotaka , biashara ikifaulu lipa mkopo umalizane na bank , biashara ikifeli , miaka 8 baadae utakuwa na 15M plus na interest utajiuliza upya tena
Marejesho yatalipwa na UTT, yeye kazi yake ni kunywa bia na totozi tu.Mkuu hii ungefunguka zaidi, akishapata mkopo marejesho ataanza lini, coz kwa biashara mpya kuanza direct na mkopo, atakua kwenye pressure kubwa sana
Sasa kila mtu akiuza chakula Kwa kuwa kinahitajika kila siku itakuaje?Kosa namba moja nikufikilia kumwajili ndugu
Na biashara inayo faa ni biashara ya chakula kwani kina hitajika Kila siku
ila kuhusu ni biashara gani watakuja watakuja wachangiaji wengine huenda ukaokota jambo
Nakuombea kwa Mungu upate utulivu na uelewa kwa kile ukiwazacho mbele yako na uweze kutoa maamuzi yaliyo bora na faida ktk maisha yako.Wakuu.
Nipo DSM nimeuza Nyumba ya urithi na kupata mgao wa mil 15 .
Naomba ushauri nifanye Biashara gani yenye low risk .
Niliwaza hizi Biashara
Money transactions
Duka la vipodozi ambalo litakuwa na cheap products .
Duka matumizi ya Nyumbani .
Biashara zote hizi nimezitengea mtaji mil 10 na mfanyakazi atakuwa mdogo wangu ambaye namuani Ila Kwa sasa Anasoma Kemeboss Form four nategmea akimaliza shule ndo nimtumie in my hustle.
Ushauri guyz
Mpaka hapo umeishafell! Hela ya kuuza nyumba ya baaako aliyopambana kuijenga ndo utobolee hela yake? Nakushauri nunua kiwanja cha 4mil jenga kiband cha vyumba viwili pangisha kama tayari una nyumba. Hizo biashara sijui mpesa/vipodozi ni story za vijiweni na ni biashara ya wanawake wadangaji hamna kitu hapoWakuu.
Nipo DSM nimeuza Nyumba ya urithi na kupata mgao wa mil 15 .
Naomba ushauri nifanye Biashara gani yenye low risk .
Niliwaza hizi Biashara
Money transactions
Duka la vipodozi ambalo litakuwa na cheap products .
Duka matumizi ya Nyumbani .
Biashara zote hizi nimezitengea mtaji mil 10 na mfanyakazi atakuwa mdogo wangu ambaye namuani Ila Kwa sasa Anasoma Kemeboss Form four nategmea akimaliza shule ndo nimtumie in my hustle.
Ushauri guyz
Chamwino itafaa maana wote wa kuanzia nyuma ya chamwino ulazimika kwenda Saba sabaDodoma sehemu gani unaweza kufanya hiyo kitu
Issue ni kutafuta soko la watu wa uwakika wakujue na sio watu ndo wakutafute wewe au waambiwe Dodoma kuna shida sana ya Bidhaa za kupikia hasa mboga mboga ,fish etcKuna jamaa hapa maili mbili kwa mudi kama kakopi idea yako vile. ...ila mkuu hyo business hakikisha una uhakika wa wateja coz jamaa japo anauza ila anavyotupa pia vng
😂😂tafuta mrembo mwenye ngozi nzuri na ana idea ya vipodozi, utauza hadi uchanganyikiwe.
Wakuu.
Nipo DSM nimeuza Nyumba ya urithi na kupata mgao wa mil 15 .
Naomba ushauri nifanye Biashara gani yenye low risk .
Niliwaza hizi Biashara
Money transactions
Duka la vipodozi ambalo litakuwa na cheap products .
Duka matumizi ya Nyumbani .
Biashara zote hizi nimezitengea mtaji mil 10 na mfanyakazi atakuwa mdogo wangu ambaye namuani Ila Kwa sasa Anasoma Kemeboss Form four nategmea akimaliza shule ndo nimtumie in my hustle.
Ushauri guyz
Salama kabisa jirani, za kuadimikaJirani za masiku?