2010 ni mdogo sana,atatapeliwa kirahisiHamna mkuu huyu dogo amezaliwa 2010 na sasa yupo form four na sio kemebos tu primary kasomea Entebe na wajukuu wa Museven .
So dogo ana akili Sana za Biashara ndo maana nahitaji kuanza nae maana mpango uliopo akimaliza form four ataenda ulaya baadae matokeo yakitoka .
Asante mkuu2010 ni mdogo sana,atatapeliwa kirahisi
Nakushauri kanunue kibanda cha kuishi kama ujawahi kufanya biashara kabla..
Kama upo dar nenda chamazi, kibaha,chanika tafuta kibanda cha 13 au 14ml, iliyobaki ndio uchezee.
Usiajiri mtu kwa kuanzia, anza wewe ili uifanye ujue mtiririko wa mauzo na faida ipo vipi, baada ya mwaka sasa hapo ajiri mtu ukishaseti kila kitu mahali pakeWakuu.
Nipo DSM nimeuza Nyumba ya urithi na kupata mgao wa mil 15 .
Naomba ushauri nifanye Biashara gani yenye low risk .
Niliwaza hizi Biashara
Money transactions
Duka la vipodozi ambalo litakuwa na cheap products .
Duka matumizi ya Nyumbani .
Biashara zote hizi nimezitengea mtaji mil 10 na mfanyakazi atakuwa mdogo wangu ambaye namuani Ila Kwa sasa Anasoma Kemeboss Form four nategmea akimaliza shule ndo nimtumie in my hustle.
Ushauri guyz
Kupata mkopo bank kupitia utt sio jambo jepesi mkuuIpeleke hiyo hela UTT halafu ikopee bank, hapo utaweza pata around 12M kwenye mkopo, fanyia biashara unayotaka , biashara ikifaulu lipa mkopo umalizane na bank , biashara ikifeli , miaka 8 baadae utakuwa na 15M plus na interest utajiuliza upya tena
Anzisha biashara ya kununua na kuuza kuku mwanangu.Wakuu.
Nipo DSM nimeuza Nyumba ya urithi na kupata mgao wa mil 15 .
Naomba ushauri nifanye Biashara gani yenye low risk .
Niliwaza hizi Biashara
Money transactions
Duka la vipodozi ambalo litakuwa na cheap products .
Duka matumizi ya Nyumbani .
Biashara zote hizi nimezitengea mtaji mil 10 na mfanyakazi atakuwa mdogo wangu ambaye namuani Ila Kwa sasa Anasoma Kemeboss Form four nategmea akimaliza shule ndo nimtumie in my hustle.
Ushauri guyz
Ninachosema ndio ninachokifanya kama una UTT nicheki nikupe mtu akupe mkopo wa bank, sio watu wengi wanafahamu hii, ni rahisiKupata mkopo bank kupitia utt sio jambo jepesi mkuu
Sawa uinga tumeacha, lakini ikishanyesha usiache kuleta mrejesho.Sio kweli,mbina mnaamini wake zwnu ila sio ndugu acgeni ujinga
Asante kwa kunielewa mkuuHuu ndio ushauri wa maana kulingana na maelezo yako.
1. Huna unauzoefu na biashara
2. Kumuajiri mdogo wako asimame biashara zako.
Nunua nyumba, inayobaki Fanya unachotaka
Mkuu ntakucheki PM,Ninachosema ndio ninachokifanya kama una UTT nicheki nikupe mtu akupe mkopo wa bank, sio watu wengi wanafahamu hii, ni rahisi
Jamaa mwongo mwong sana๐๐๐๐Yaani mnalipa mamilioni ya Ada kemebos Ili uje umuajiri huyo mdogo wako kwenye tigo Pesa!
Wastage of resources!
Huku mkishushia kwa pesa za urithi!Mkuuu kesho njoo pale Kitambaa cheupe sinza kwanza tudiscuss vizuri.
Njoo huku homboza ununue shamba hekari moja then ulikate viwanja vya kuuza
Ninachosema ndio ninachokifanya kama una UTT nicheki nikupe mtu akupe mkopo wa bank, sio watu wengi wanafahamu hii, ni rahisi