Nimefanikiwa kupata mkopo wa Milioni 470 nimetenga kiasi hiki kwa ajili ya kujipongeza na watoto wakali

Nimefanikiwa kupata mkopo wa Milioni 470 nimetenga kiasi hiki kwa ajili ya kujipongeza na watoto wakali

Hata hao waliokuwekea huo mkopo hamnazo tu.
 
Huyu jamaa ni chizi kabisa,nilimkuta Ubungo ana li bahasha kajaza makaratasi huku juu kaandaka"HIZI NI PESA.Nikashangaa sana
 
Bado, watu wanaonga maghorofa wewe unasema milioni 50?? We hukusikia baadhi ya viongozi wanawakodia maawala zao ndenge??
Mi sijafika huko mkuu. Na hiyo 50 si kwamba nampa yote. No hiyo nimetenga kwa ajili hiyo ya michakato.
 
Kwenye list yangu namba 1 nimemweka Irene Uwoya. Huyu nimetenga mil 50 nimle na nyingine zitakaZo baki kuna wadada wengine 3 hawa mmoja naye ni muigizaji wengine si waigizaji.

Mkopo umefanikiwa juzi. Nimewekewa kwenye account yangu. Nikawaza hapa lazima nijipongeze. Si kitu kidogo. Miradi ambayo naenda fanya ili hitaji milion 350 tu. But niliongeza ili kiasi hicho kingine niweze fanyia mambo mengine ya ku enjoy life.

Najua kwa pesa hizo nikisafiri nje ya nchi maea 5 tu narudisha kwa kiwango kikubwa sana. Uzuri sisi tukisafiri tunalipwa per diem mara 2. ya ndani ya nchi na nje. Then imagine nakaa miezi 2 sometimes nje ya nchi.

So wadau tufanyeni kazi. Tuache kulalamika au kumlaumu rais. Pesa zipo ni uzembe wa watanzania wengi ndo issue.
Hii ndio Mjanja M1 anasemaga Job true true 😹😹🤣
 
Kwenye list yangu namba 1 nimemweka Irene Uwoya. Huyu nimetenga mil 50 nimle na nyingine zitakaZo baki kuna wadada wengine 3 hawa mmoja naye ni muigizaji wengine si waigizaji.

Mkopo umefanikiwa juzi. Nimewekewa kwenye account yangu. Nikawaza hapa lazima nijipongeze. Si kitu kidogo. Miradi ambayo naenda fanya ili hitaji milion 350 tu. But niliongeza ili kiasi hicho kingine niweze fanyia mambo mengine ya ku enjoy life.

Najua kwa pesa hizo nikisafiri nje ya nchi maea 5 tu narudisha kwa kiwango kikubwa sana. Uzuri sisi tukisafiri tunalipwa per diem mara 2. ya ndani ya nchi na nje. Then imagine nakaa miezi 2 sometimes nje ya nchi.

So wadau tufanyeni kazi. Tuache kulalamika au kumlaumu rais. Pesa zipo ni uzembe wa watanzania wengi ndo issue.
...POLE...[emoji57][emoji57]

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Kwenye list yangu namba 1 nimemweka Irene Uwoya. Huyu nimetenga mil 50 nimle na nyingine zitakaZo baki kuna wadada wengine 3 hawa mmoja naye ni muigizaji wengine si waigizaji.

Mkopo umefanikiwa juzi. Nimewekewa kwenye account yangu. Nikawaza hapa lazima nijipongeze. Si kitu kidogo. Miradi ambayo naenda fanya ili hitaji milion 350 tu. But niliongeza ili kiasi hicho kingine niweze fanyia mambo mengine ya ku enjoy life.

Najua kwa pesa hizo nikisafiri nje ya nchi maea 5 tu narudisha kwa kiwango kikubwa sana. Uzuri sisi tukisafiri tunalipwa per diem mara 2. ya ndani ya nchi na nje. Then imagine nakaa miezi 2 sometimes nje ya nchi.

So wadau tufanyeni kazi. Tuache kulalamika au kumlaumu rais. Pesa zipo ni uzembe wa watanzania wengi ndo issue.

IMG_4803.jpg

IMG_4801.jpg

IMG_4789.jpg

Milioni 450 wanawake hawakutaki shida n nn Unanuka mdomo au ni hanidhi? au hawataki uwasage??
 
Back
Top Bottom