Kwetu hali ni mbaya sana ...
Kijana ukifikia miaka 15, unavishwa kakofia .. kofia hiyo inakusababishia matatizo makubwa sana. Huwezi kuuliza swali lolote .. na hata ukiuliza ukajibiwa huwezi kujua umejibiwa nini.
Ukishavishwa kofia unakuwa kama mtumwa wa fikra. Anachosema mmiliki wa kofia ndo hicho hicho. Akiamrisha kwenda kuwaua binadamu wenzio - wala huwezi kuhoji - ni kutekeleza amri tu.
Unajua nilifanikiwaje kutoroka huko kwetu ...
Alipatikana mtu mmoja ambaye alikuwa amevaa kofia ile kumbe ilikuwa ni kofia feki. Yeye alikuwa na uwezo wa kuhoji, na wenzake hawakumtambua kuwa kofia yake ilikuwa haifanyi kazi kama za wengine. Huyu ndo mkombozi wa wale ambao hawajavaa hizo kofia.
Kwetu .. sijajua itakuwaje baada ya miaka miwili kuanzia sasa.
Ebu nikanywe chai kwanza ila nikirudi nitawajuza zaidi kuhusu huko nilikotoka.
Nikaribisheni jamani ... naona hapa kuna uhuru wa kifikra.
1. Darasa lanne
2. Darasa la saba
3. Kidato cha nne
4. Kidato cha Sita
5. Chuo +
Hizi kofia zote hazijamkomboa kijana wa kwetu; anaendelea kuamini kuwa yuko huru wakati watu wake wakiangamia.
Kijana ukifikia miaka 15, unavishwa kakofia .. kofia hiyo inakusababishia matatizo makubwa sana. Huwezi kuuliza swali lolote .. na hata ukiuliza ukajibiwa huwezi kujua umejibiwa nini.
Ukishavishwa kofia unakuwa kama mtumwa wa fikra. Anachosema mmiliki wa kofia ndo hicho hicho. Akiamrisha kwenda kuwaua binadamu wenzio - wala huwezi kuhoji - ni kutekeleza amri tu.
Unajua nilifanikiwaje kutoroka huko kwetu ...
Alipatikana mtu mmoja ambaye alikuwa amevaa kofia ile kumbe ilikuwa ni kofia feki. Yeye alikuwa na uwezo wa kuhoji, na wenzake hawakumtambua kuwa kofia yake ilikuwa haifanyi kazi kama za wengine. Huyu ndo mkombozi wa wale ambao hawajavaa hizo kofia.
Kwetu .. sijajua itakuwaje baada ya miaka miwili kuanzia sasa.
Ebu nikanywe chai kwanza ila nikirudi nitawajuza zaidi kuhusu huko nilikotoka.
Nikaribisheni jamani ... naona hapa kuna uhuru wa kifikra.
1. Darasa lanne
2. Darasa la saba
3. Kidato cha nne
4. Kidato cha Sita
5. Chuo +
Hizi kofia zote hazijamkomboa kijana wa kwetu; anaendelea kuamini kuwa yuko huru wakati watu wake wakiangamia.