Nimefanikiwa kutoroka

Nimefanikiwa kutoroka

Kwetu hali ni mbaya sana ...
Kijana ukifikia miaka 15, unavishwa kakofia .. kofia hiyo inakusababishia matatizo makubwa sana. Huwezi kuuliza swali lolote .. na hata ukiuliza ukajibiwa huwezi kujua umejibiwa nini.
Ukishavishwa kofia unakuwa kama mtumwa wa fikra. Anachosema mmiliki wa kofia ndo hicho hicho. Akiamrisha kwenda kuwaua binadamu wenzio - wala huwezi kuhoji - ni kutekeleza amri tu.
Unajua nilifanikiwaje kutoroka huko kwetu ...
Alipatikana mtu mmoja ambaye alikuwa amevaa kofia ile kumbe ilikuwa ni kofia feki. Yeye alikuwa na uwezo wa kuhoji, na wenzake hawakumtambua kuwa kofia yake ilikuwa haifanyi kazi kama za wengine. Huyu ndo mkombozi wa wale ambao hawajavaa hizo kofia.
Kwetu .. sijajua itakuwaje baada ya miaka miwili kuanzia sasa.
Ebu nikanywe chai kwanza ila nikirudi nitawajuza zaidi kuhusu huko nilikotoka.
Nikaribisheni jamani ... naona hapa kuna uhuru wa kifikra.
Karibu....na utuelezee vizuri kuhusu kofia za kwenu... Isije ikawa kofia za milembe, nashauri urudi au usiivue na kuitoboa huenda utakuwa hujamaliza dozi....anyway maliza chai uje utusimulie
 
Kwetu hali ni mbaya sana ...
Kijana ukifikia miaka 15, unavishwa kakofia .. kofia hiyo inakusababishia matatizo makubwa sana. Huwezi kuuliza swali lolote .. na hata ukiuliza ukajibiwa huwezi kujua umejibiwa nini.
Ukishavishwa kofia unakuwa kama mtumwa wa fikra. Anachosema mmiliki wa kofia ndo hicho hicho. Akiamrisha kwenda kuwaua binadamu wenzio - wala huwezi kuhoji - ni kutekeleza amri tu.
Unajua nilifanikiwaje kutoroka huko kwetu ...
Alipatikana mtu mmoja ambaye alikuwa amevaa kofia ile kumbe ilikuwa ni kofia feki. Yeye alikuwa na uwezo wa kuhoji, na wenzake hawakumtambua kuwa kofia yake ilikuwa haifanyi kazi kama za wengine. Huyu ndo mkombozi wa wale ambao hawajavaa hizo kofia.
Kwetu .. sijajua itakuwaje baada ya miaka miwili kuanzia sasa.
Ebu nikanywe chai kwanza ila nikirudi nitawajuza zaidi kuhusu huko nilikotoka.
Nikaribisheni jamani ... naona hapa kuna uhuru wa kifikra.
September 19, kijana bado mpyaaaa
 
Raha ya kofia hukuzuia na jua kali. kwa nyakati za mchana. Tatizo kapero haikupi uhuru wa kutizama juu kuwaona wakuu. We unasikia tuu sauti na unatekeleza. Muda wote macho chini kama kondoo wa kafara.

Kuivua Kapero lazima upepo ukupige usoni hasa kwenye macho hivyo kama hujajiandaa vya kutosha basi macho huweza kuingiwa na vumbi na mwishowe kuwa mabovu.

Hongera kwa kuvua kofia, najua unajidhatiti na upepo wenye vumbi
 
Karibu....na utuelezee vizuri kuhusu kofia za kwenu... Isije ikawa kofia za milembe, nashauri urudi au usiivue na kuitoboa huenda utakuwa hujamaliza dozi....anyway maliza chai uje utusimulie
Kwani ujui ninatafuta wenye CV ya ukichaa niwape vyeo serikalini tunaunda team milembe aka
White milembe magogoni
 
Raha ya kofia hukuzuia na jua kali. kwa nyakati za mchana. Tatizo kapero haikupi uhuru wa kutizama juu kuwaona wakuu. We unasikia tuu sauti na unatekeleza. Muda wote macho chini kama kondoo wa kafara.

Kuivua Kapero lazima upepo ukupige usoni hasa kwenye macho hivyo kama hujajiandaa vya kutosha basi macho huweza kuingiwa na vumbi na mwishowe kuwa mabovu.

Hongera kwa kuvua kofia, najua unajidhatiti na upepo wenye vumbi
Sijaivua kofia; nimetoroka kabla hawajanivisha hiyo kofia, ndugu zangu wengi nimewakimbia, dada, kaka mke wangu na watoto - nisamehe ila nikifanikisha nitawarudia.
 
Back
Top Bottom