Nimefanikiwa kutundika daluga pombe

Nimefanikiwa kutundika daluga pombe

I hope wote tuko good kwa nguvu ya god nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote zaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha
 
I hope wote tuko good kwa nguvu ya god nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote zaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha
Kwahiyo mpka leo umekunywa nyumba ngapi?
 
Kwahiyo mpka leo umekunywa nyumba ngapi?
Ningekuwa na nyumba na usafiri wa kutembelea cha hajabu napanga bado hadi leo waliokuwa wanatuuzia washajenga na magari wanayo yakutembelea kupitia pesa yangu ya gambe aise niseme it's enough
 
Screenshot_2023-09-22-12-21-33-1.png
 
I hope wote tuko good kwa nguvu ya God

Nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote zaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha
Karibu......nakutia moyo 🙂wengi tumeacha kwa hiari....kimsingi pombe haina faida...alternative fanya ibada....mabadiliko utayaona na watu watakushangaa.
 
I hope wote tuko good kwa nguvu ya God

Nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote zaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha
Tuko pmj mkuu ila Kuna changamoto utakutano anzo sna baada ya kuacha Kama mm nilikutana na upweke sna Mara baada ya kuacha pombe Ila sijarudi nyuma kabisa had Sasa Ni mwaka unapita bila kuguza vilevi Hadi home wanashangaha
 
Back
Top Bottom