nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Sababu ziko 3Sioni sababu ya kuacha pombe kwasababu naweza kuicontrol
Kwa sasa huwezi kuziona
1.Afya
2.Uchumi
3..................utamalizia mwenyewe.(nimejiridhisha unaifahamu)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ziko 3Sioni sababu ya kuacha pombe kwasababu naweza kuicontrol
......iwapo tu,alipata msaada wa kiRoho.Na ukirudia unakuwa kichaa ..
Mbona huu uzi ukiusoma unaonesha dhahiri shahiri umelewa!I hope wote tuko good kwa nguvu ya God
Nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote zaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha
Kwani ndugu uliwahi kupanda juu ya meza,kulala mvunguni,kulala barabarani au ulikuwa unaingia ndani ya chupa au mtungi kabisa🤔I hope wote tuko good kwa nguvu ya God
Nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote iazaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha
Saiv na kwenda wiki sijagusa kabisa
Umelipumzisha IniI hope wote tuko good kwa nguvu ya God
Nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote zaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha
🤣🤣🤣SanaWalevi tukifuliaga hua tunakua na maneno matam sana....teh🤣
Kwa kifupi kaka pombe inadhalilisha kuanzia kazini mpaka family huwezi pata dili kubwa la pesa kazini au family watu hawatokuamini kwa sababu ya pombe kwaiyo pombe inaondoa pia uwaminifu wako kwa watuKwani ndugu uliwahi kupanda juu ya meza,kulala mvunguni,kulala barabarani au ulikuwa unaingia ndani ya chupa au mtungi kabisa🤔
sema tu umepunguza kunywa pombe kutundika daluga labda uhamie PembaI hope wote tuko good kwa nguvu ya God
Nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote zaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha
Kaka hata wiki ndo inazaa mwezi na mwezi ndo unazaa mwaka kwaiyo ndo mwanzo huo mpaka ntatimiza miezi na hatima mwaka na mwisho miaka kwa nguvu ya God kikubwa nishaweka nia na mungu atanisimamia kwa iliMpuuzi kweli wiki Ndio unasema umefanikiwa Kuacha pombe
I hope wote tuko good kwa nguvu ya God
Nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote zaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha