Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Maisha ya ajabu mno hata ukiacha kunywa pombe utajikuta hamna unachosave...mimi sio mnywaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wiki tu unatangaza kuacha pombe? Walau subiria mwaka upiteSaiv na kwenda wiki sijagusa kabisa
Kumbe ni wiki tu mzee..wewe utarudi tu[emoji23][emoji23][emoji23]Saiv na kwenda wiki sijagusa kabisa
Nimecheka kwa sauti mkuu, always this happens to me 🤣🤣🤣🤣Ukifulia unaweza kuhisi umeacha pombe
Kaka hata wiki ndo inazaa mwezi na mwezi ndo unazaa mwaka kwaiyo ndo mwanzo huo mpaka ntatimiza miezi na hatima mwaka na mwisho miaka kwa nguvu ya God kikubwa nishaweka nia na mungu atanisimamia kwa ili
Nimefanikiwa kupunguza mungu akipenda nitaacha kabisaaaaaaaJItahidi na hizo uziache maana ni pombe pia
Ndovu special malt ilikuwa bia moja classic sanaToka 21 Feb 2022 sijagusa pombe, after 20+ yrs of drinking
Wewe umefanikiwq tayariToka 21 Feb 2022 sijagusa pombe, after 20+ yrs of drinking
Usimkatishe tamaa mwenzako . Jana nimepita karibu na baa moja jamaa zangu wanakunywa shetani ananiambia nenda ila namshukuru Mungu nikajikaza naamini nitaweza tu.Kumbe ni wiki tu mzee..wewe utarudi tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Inategemea unywaji wako kama ni ule wa kutukana Watu,kulala mtaroni,kusinzia kwenye unywaji,kujitapikia kudhalilika ni lazima,ndio maana watengenezaji wanaandika onyo kuwakumbusha wanywaji Wanywe kwa kuwajibika.Kwa kifupi kaka pombe inadhalilisha kuanzia kazini mpaka family huwezi pata dili kubwa la pesa kazini au family watu hawatokuamini kwa sababu ya pombe kwaiyo pombe inaondoa pia uwaminifu wako kwa watu