Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Kitambo nilikuaga mlevi lkn nashukuru mungu siku hizi nimekua mnywaji nyagi mdogo nadailut na kisungura bas sina mambo mengi wala ninWalevi tukifuliaga hua tunakua na maneno matam sana....teh[emoji1787]
I hope wote tuko good kwa nguvu ya god nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote zaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha
Wee mzee ulale sasa au upo bijampola saiv?🤣🤣🤣Walevi tukifuliaga hua tunakua na maneno matam sana....teh🤣
Hajawahi kutokea bingwa wa kuikontrol pombe duniani.Ujue bado haijakukolea.Mkuu hili ndio la msingi mno.
Weka limits zako pombe haitokusumbua ng'oo, weka tamaa pembeni.Hajawahi kutokea bingwa wa kuikontrol pombe duniani.Ujue bado haijakukolea.
Kwamba kafulia 😂😂Walevi tukifuliaga hua tunakua na maneno matam sana....teh🤣
You never know when you're intoxicated!Weka limits zako pombe haitokusumbua ng'oo, weka tamaa pembeni.
Kwahiyo mpka leo umekunywa nyumba ngapi?I hope wote tuko good kwa nguvu ya god nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote zaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha
Haiji tokea nnakunywa nikiamua, sinywagi pombe kwa kushawishiwa hata mara mojaYou never know when you're intoxicated!
Nikajua mwaka!!! Wewe hapo upo halftime tuuSaiv na kwenda wiki sijagusa kabisa
Ila wasio bugia pombe wana maneno sana.Eti ukinywa mtungi ni kama unatafuna tofari.Kwahiyo mpka leo umekunywa nyumba ngapi?
Eti [emoji23][emoji23][emoji23]Wiki ndio umeleta na nyuzi mkuu?
Yani ni kama aliacha nyeto ndani ya wiki alafu ajisifu kaacha, wiki hajapitia hata vishawishiEti [emoji23][emoji23][emoji23]
Ningekuwa na nyumba na usafiri wa kutembelea cha hajabu napanga bado hadi leo waliokuwa wanatuuzia washajenga na magari wanayo yakutembelea kupitia pesa yangu ya gambe aise niseme it's enoughKwahiyo mpka leo umekunywa nyumba ngapi?
Karibu......nakutia moyo 🙂wengi tumeacha kwa hiari....kimsingi pombe haina faida...alternative fanya ibada....mabadiliko utayaona na watu watakushangaa.I hope wote tuko good kwa nguvu ya God
Nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote zaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha
Tuko pmj mkuu ila Kuna changamoto utakutano anzo sna baada ya kuacha Kama mm nilikutana na upweke sna Mara baada ya kuacha pombe Ila sijarudi nyuma kabisa had Sasa Ni mwaka unapita bila kuguza vilevi Hadi home wanashangahaI hope wote tuko good kwa nguvu ya God
Nimefanikiwa kuiacha pombe bila kufosiwa au kupata tukiololote nimeona kwa mda niliotumia sijapata faida yoyote zaidi ya kuuchosha mwili na kuishi maisha ya madeni kwa sababu ya pombe sitoi motivation ili watu waache pombe hapana pombe hailazimishwi kuacha mtu huuacha mwenyewe baada kuona faida na hasara zake mtu huacha mwenyewe niayo nawasilisha