Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Uko sahihi mjumbe, hatulei chama Cha mkopo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msaliti huyuMkuu wewe si ni mwenzetu kabisa wa KATAA NDOA au hapo ulipitiwa tu Mkuu?
Bro kila mtu na level zake, yeye kaukwepa mshale😀sas kaka kuombwa 15k tu unaleta uzi hum serious !!!
Na nime muwekea ushahidi, Jamaa ni mnafiki kinyama😀😂Mkuu wewe si ni mwenzetu kabisa wa KATAA NDOA au hapo ulipitiwa tu Mkuu?
Mbona pesa nyingi hivi anataka kuanzisha biashara?
dah mkuu 15 unaichukulia kama jero sio?🤣🤣15 ndo makasiriko mkuu
Hahaha! Basi mueleweshe atakuelewa,lakini kukuomba pesa sijaona shida au ndio tabia yake pasi kuangalia/kufikiri zaidi?Ndiyo
Kijana wewe ni mkorofi 🤣Lipia tangazo, we si ulisema ni team kATAA ndoa!?.
hiyo kutafuta mke, vipi?!
View attachment 2918161
Nouma sanamsaliti huyu
Nouma sanaNa nime muwekea ushahidi, Jamaa ni mnafiki kinyama😀😂
Mimi ni mtakatifu, sema Wana force niwe mtaka bifu😀😂Kijana wewe ni mkorofi 🤣
Sasa ni 94% sio 80 tena.safi sana
80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'
Wasalaam wana JF Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli. Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada. Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako...www.jamiiforums.com
NAKAZIASasa ni 94% sio 80 tena.
Ombaomba wauwawe
Atembee. Kariakoo mpka Morogoro kama anaweza kuokota hiyo 15k..dah mkuu 15 unaichukulia kama jero sio?