Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislam dheheb gan sio sunniSio kwamba nimefanya utapeli wa kuuza eneo moja mara mbili, la hasha. Nilikuwa na eneo dogo nimeligawa mara mbili upande mmoja nimewauzia waislamu upande mwingine wamechukua kanisa, nimefanya hivyo bila mmoja kujua taarifa za mwenzake. Wote wamedai wanajenga nyumba za ibada.
Ni wakati sahihi wa hizi dini mbili kuwa karibu. Kuna kipande kidogo kimebaki nataka kuwapatia wahindi.
Yaani wewe utaleta machafuko eneo hiloSio kwamba nimefanya utapeli wa kuuza eneo moja mara mbili, la hasha. Nilikuwa na eneo dogo nimeligawa mara mbili upande mmoja nimewauzia waislamu upande mwingine wamechukua kanisa, nimefanya hivyo bila mmoja kujua taarifa za mwenzake. Wote wamedai wanajenga nyumba za ibada.
Ni wakati sahihi wa hizi dini mbili kuwa karibu. Kuna kipande kidogo kimebaki nataka kuwapatia wahindi.
Catholic na Islam ni dini moja.
Catholics hawanunui maeneo ovyo ovyo kujenga makanisaCatholic na Islam ni dini moja.
Mbona mwanza,butimba kuna kanisa ya AIC imepakana na msikiti. Kwani ajabuNimeshuhudia sehemu waislamu wanang'oa msikiti kisa mbele mita 30 kuna kanisa.
Msikiti ulikuwa levo ya msingi.
Umetengeneza uadui hapoKutengeneza ukaribu,
Kama wote wanaamini Yesu kristo ni mwana wa Mungu!Ndotoni au..!?
Amina. Yesu ni BwanaCatholic na Islam ni dini moja.
Misikiti/makanisa uku inajengwa hadi vichochoroni hiyo wizara yako imelalaMaeneo ya kuabudia kama kanisa na misikiti hupimwa na kuidhinishwa na wizara ya ardhi kwa matumizi hayo! Hivyo acha kutudanganya.Labda kanisa la matuŕbai na vitu viwili au msikiti wa mtu mmoja!
Uliona wapi?Ngoja siku moja mchungaji aamue kuchinja kitimoto then kitimoto achomoke aingie msikitini[emoji1787]
Vatican ndio iliyoanzisha uislamu.Ndotoni au..!?