Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Ha ha ha ha haHapo ni mwendo wa mtoto wa bi mdogo kumtupia majini jirani yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha haHapo ni mwendo wa mtoto wa bi mdogo kumtupia majini jirani yake
Linapokuja suala la kiimani kila mtu anatakiwa ashinde mechi zake ..linapokuwa suala la kijamii no matter lazma tuwe pamojaAliyekuambia wakristo na waislam ni maadui ni nani?
Stress za kuritadi hizi ,,Hapo ni mwendo wa mtoto wa bi mdogo kumtupia majini jirani yake
Vatican ndio iliyoanzisha meccaDini moja ya wapi? Catholic hawanunui hovyo hovyo wale na hawanunui miguu miwili, wewe angalia hata humu kwenye makazi mapya wapo na maeneo yakueleweka.
Waislamu wanaoa wakristo na wakristo wanaoa waislamLinapokuja suala la kiimani kila mtu anatakiwa ashinde mechi zake ..linapokuwa suala la kijamii no matter lazma tuwe pamoja
HujaelewaDini moja ya wapi? Catholic hawanunui hovyo hovyo wale na hawanunui miguu miwili, wewe angalia hata humu kwenye makazi mapya wapo na maeneo yakueleweka.
HujaelewaDini moja ya wapi? Catholic hawanunui hovyo hovyo wale na hawanunui miguu miwili, wewe angalia hata humu kwenye makazi mapya wapo na maeneo yakueleweka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ngoja siku moja mchungaji aamue kuchinja kitimoto then kitimoto achomoke aingie msikitini[emoji1787]
Kwahiyo mnanitamani mnikate shingo kama kitabu chenu kitukutu kinavyoeleza?Stress za kuritadi hizi ,,
Wewe kunywa bia na kula kitimoto tu sisi hatuna haja na kichwa chako ambacho kazi yake Ni kufugia nywele tu😃😃Kwahiyo mnanitamani mnikate shingo kama kitabu chenu kitukutu kinavyoeleza?
Bia haramu, kitimoto halali.Wewe kunywa bia na kula kitimoto tu sisi hatuna haja na kichwa chako ambacho kazi yake Ni kufugia nywele tu😃😃
Aaah wap huko sio kwa kunikaribisha Mimi ..yaan nije kula vibudu be serious broBia haramu, kitimoto halali.
Karibu kitimoto hapa Pugu sekondari kuna mahali wanaikaanga vizuri
Sheikh karibu,Aaah wap huko sio kwa kunikaribisha Mimi ..yaan nije kula vibudu be serious bro
Mkuu, home kwetu kuna bar, na fence yake imepakana na fence ya msikiti. Sasa sijui unaongelea amshaamsha zipi? Au mwenzetu uko Saudi Arabia?Jaribu kuweka hiyo bar Kama utamliza japo robo balimi kabla hujakumbana na amsha amsha...sisi hatutakagi ujinga..