hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
Huwez kuelewa mambo Kama haya ,Vituko vya Karne hivi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwez kuelewa mambo Kama haya ,Vituko vya Karne hivi...
Hakuna mwerevu wa kukubali hizo porojo za Chrislam....Maji ya chumvi na bahari hayawezi kuchanganya a Never!!!!Huwez kuelewa mambo Kama haya ,
Hawa wamekutana kunywa kahawa? Na mkataba waliosaini Islam na Papa Ni wakunywa kahawa?Hakuna mwerevu wa kukubali hizo porojo za Chrislam....Maji ya chumvi na bahari hayawezi kuchanganya a Never!!!!
Ila maadili ya hela haya ...maana Mimi mfiadini tu unaanzaje kunipeleka kanisani kirahisi hivyo...hapa lazma Kuna mchongo wa Pesa.Hawa wamekutana kunywa kahawa? Na mkataba waliosaini Islam na Papa Ni wakunywa kahawa?
KUNA UBAYA GANI WAKRISTU NA WAISLAMU WAKIUNGANA ??ONE WORLD RELIGION[ CHRISLAM]
Mufti Mkuu Rahmi Yaran Akisoma Dua Huku Papa Wa Kanisa Katoliki Duniani Akiitikia Ndani Ya Msikiti Nchini Uturuki, Papa Francins Nchini Uturuki Kwa Ziara Maalum, Papa Alikwenda Ktk Msikiti Wa Kale Uitwao Sultan Ahmet Mosque {Blue Mosque} Mjini Instanbul, Na Hapo Aliambatana Na Mufti Wa Instanbul Rahmi Yarani Kutembea Ndani Ya Msikiti Huo Na Baadae Mufti Huyo Kuomba Dua Huku Woote Wakiitikia Dua Hiyo Akiwemo Papa FRANCIS.
DINI ZINAZIDI KUUNGANA NA KUUNDA DINI MOJA YA ULIMWENGU
View attachment 2235368
View attachment 2235370
View attachment 2235371
Tutarajie mwezi gani hicho mnachoita HQs kitafunguliwa ?Believers Portal
One World Religion Headquarters To Open 2022 - Believers Portal
Kwanini usijenge wewe hicho kipande kilicho baki? Ili upate elimu ya dini zote?.Sio kwamba nimefanya utapeli wa kuuza eneo moja mara mbili, la hasha. Nilikuwa na eneo dogo nimeligawa mara mbili upande mmoja nimewauzia waislamu upande mwingine wamechukua kanisa, nimefanya hivyo bila mmoja kujua taarifa za mwenzake. Wote wamedai wanajenga nyumba za ibada.
Ni wakati sahihi wa hizi dini mbili kuwa karibu. Kuna kipande kidogo kimebaki nataka kuwapatia wahindi.
Skwata hua anapima nani?Maeneo ya kuabudia kama kanisa na misikiti hupimwa na kuidhinishwa na wizara ya ardhi kwa matumizi hayo! Hivyo acha kutudanganya.Labda kanisa la matuŕbai na vitu viwili au msikiti wa mtu mmoja!
Huwezi kung'oa msikiti ndungu, nadhani walifukua matofali ya msingi.Nimeshuhudia sehemu waislamu wanang'oa msikiti kisa mbele mita 30 kuna kanisa.
Msikiti ulikuwa levo ya msingi.
Kwanini mwingine hataki kuvaa suti na ngwasuma wakati anahudumia ndani ya hekalu la Mungu? Au akiwa peku inaswii zaidi?.Ndotoni au..!?
Waislam wanaitumia dk 10 tu kuswaliKama ni walokole waislamm watakimbia, watapiga maombi hayo mpaka msikitini vibaki viatu tu
Ngwasuma hukanyaga mavi,makohozi nkKwanini mwingine hataki kuvaa suti na ngwasuma wakati anahudumia ndani ya hekalu la Mungu? Au akiwa peku inaswii zaidi?.
Mfia dini siyo muumini!?Waumini Waelewa hawana Noma ila ukikuta kuna wafia dini ndo utajua hujui
Halafu inahangaika kuipiga Vita Mecca,mipango mingi!!!...we kichwani bureVatican ndio iliyoanzisha mecca
Hii ni 570 AD?ONE WORLD RELIGION[ CHRISLAM]
Mufti Mkuu Rahmi Yaran Akisoma Dua Huku Papa Wa Kanisa Katoliki Duniani Akiitikia Ndani Ya Msikiti Nchini Uturuki, Papa Francins Nchini Uturuki Kwa Ziara Maalum, Papa Alikwenda Ktk Msikiti Wa Kale Uitwao Sultan Ahmet Mosque {Blue Mosque} Mjini Instanbul, Na Hapo Aliambatana Na Mufti Wa Instanbul Rahmi Yarani Kutembea Ndani Ya Msikiti Huo Na Baadae Mufti Huyo Kuomba Dua Huku Woote Wakiitikia Dua Hiyo Akiwemo Papa FRANCIS.
DINI ZINAZIDI KUUNGANA NA KUUNDA DINI MOJA YA ULIMWENGU
View attachment 2235368
View attachment 2235370
View attachment 2235371
Kwa Nini waqbudu wachafuane ?Hilo eneo litakuwa na amani kuliko eneo lolote lile!hapo palipobaki amalizie kwa waabudu shetani patimieYaani wewe utaleta machafuko eneo hilo
Fatilia mambo watu wameshatia na sain na jengo limekamilikaTutarajie mwezi gani hicho mnachoita HQs kitafunguliwa ?
Na ksipofunguliwa mbinywe mbupu kwa kusema uongo.
Kwa akili yako hiyo wizara inafika kila sehem??Maeneo ya kuabudia kama kanisa na misikiti hupimwa na kuidhinishwa na wizara ya ardhi kwa matumizi hayo! Hivyo acha kutudanganya.Labda kanisa la matuŕbai na vitu viwili au msikiti wa mtu mmoja!