Nimefanikiwa kuwauzia kanisa na msikiti eneo moja

Nimefanikiwa kuwauzia kanisa na msikiti eneo moja

Sehemu nyingi tu, msukiti na wanachangia uzio mmoja.

Inapofika siku ya mkusanyiko mkubwa wa waumini ( ijumaa au J. Pili) hakuna kuchagua parking, muislam anapaki kwenye eneo la kanisa na wakiristo wana park kwenye eneo la msikiti.

Na hakujawahi kutokea marumbano.
 
Sehemu nyingi tu, msukiti na wanachangia uzio mmoja.

Inapofika siku ya mkusanyiko mkubwa wa waumini ( ijumaa au J. Pili) hakuna kuchagua parking, muislam anapaki kwenye eneo la kanisa na wakiristo wana park kwenye eneo la msikiti.

Na hakujawahi kutokea marumbano.
Waumini Waelewa hawana Noma ila ukikuta kuna wafia dini ndo utajua hujui
 
Sehemu nyingi tu, msukiti na wanachangia uzio mmoja.

Inapofika siku ya mkusanyiko mkubwa wa waumini ( ijumaa au J. Pili) hakuna kuchagua parking, muislam anapaki kwenye eneo la kanisa na wakiristo wana park kwenye eneo la msikiti.

Na hakujawahi kutokea marumbano.
Wapi huko leta ushahidi ,,,huwezi kuweka msikiti na kanisa kwa kutenganishwa na ukuta Never..Kelele za Masabufa ya Gwaji Boy hayawez kuvumiliwa na waislam ht akiwa muislam mnywa pombe....zile Spika za kanisani sio za kuvumilia mtu wa swala tano Never
 
Waumini Waelewa hawana Noma ila ukikuta kuna wafia dini ndo utajua hujui
Mkuu mlokole na Muislam haswa sunni huwez kuwaweka pamoja...hata msabato na mlokole huwezi kuwaweka pamoja kwa kigezo Cha ukuta Never..hao watu Wana misimamo yao haswa...
 
Abu Dhabi kuna sehemu nimepasahau jina ila kuna msikitini na makanisa mawili eneo moja na msikitini unaita msikiti wa bikiria Maria mama yake Issa
Wa juzi watanikumbusha vizuri
 
Sio kwamba nimefanya utapeli wa kuuza eneo moja mara mbili, la hasha. Nilikuwa na eneo dogo nimeligawa mara mbili upande mmoja nimewauzia waislamu upande mwingine wamechukua kanisa, nimefanya hivyo bila mmoja kujua taarifa za mwenzake. Wote wamedai wanajenga nyumba za ibada.
Ni wakati sahihi wa hizi dini mbili kuwa karibu. Kuna kipande kidogo kimebaki nataka kuwapatia wahindi.
Ni wapi huko Morogoro siyo? Manake huko ndiko walipo matapeli wakubwa wa ardhi wasiojali kitu na wanauwezo wa kuuza ardhi moja kwa watu kumi.
 
Sio kwamba nimefanya utapeli wa kuuza eneo moja mara mbili, la hasha. Nilikuwa na eneo dogo nimeligawa mara mbili upande mmoja nimewauzia waislamu upande mwingine wamechukua kanisa, nimefanya hivyo bila mmoja kujua taarifa za mwenzake. Wote wamedai wanajenga nyumba za ibada.
Ni wakati sahihi wa hizi dini mbili kuwa karibu. Kuna kipande kidogo kimebaki nataka kuwapatia wahindi.
Aliyekuambia wakristo na waislam ni maadui ni nani?
 
mkuu pale keko nyuma ya kota za polisi kuna kanisa na msikiti zimepakana kwa fence tu, kanisa linatazama mtaa wa mbele msikiti mtaa wa nyuma
Hayo ni yale maeneo ya zamani ambayo hayakupimwa.Lakini kwa sasa ili kupata kibali cha ujenzi wa kanisa au msikiti lazima eneo lithibitishwe kuwa ni kwa matumizi ya kanisa/msikiti.Sio Residential au Commercial alafu ujenge msikiti/kanisa, Labda ukapate Kibali cha kubadili matumizi ya ardhi.Kwa zamani iliwezekana ila kwa sasa ni ngumu.
 
Misikiti/makanisa uku inajengwa hadi vichochoroni hiyo wizara yako imelala
Hayo ni yale maeneo ya zamani ambayo hayakupimwa.Lakini kwa sasa ili kupata kibali cha ujenzi wa kanisa au msikiti lazima eneo lithibitishwe kuwa ni kwa matumizi ya kanisa/msikiti.Sio Residential au Commercial alafu ujenge msikiti/kanisa, Labda ukapate Kibali cha kubadili matumizi ya ardhi.Kwa zamani iliwezekana ila kwa sasa ni ngumu.
 
Wapi huko leta ushahidi ,,,huwezi kuweka msikiti na kanisa kwa kutenganishwa na ukuta Never..Kelele za Masabufa ya Gwaji Boy hayawez kuvumiliwa na waislam ht akiwa muislam mnywa pombe....zile Spika za kanisani sio za kuvumilia mtu wa swala tano Never
Ila vile vipaza sauti ndio vya kuvumiliwa? Wewe mwehu nini?

Hapo kilichobaki ni kufungua bar tu, kila mtu aingie panapomuhusu!
 
hiyo ni sawa tu, ukienda gerezani mahitaji ya vifaa vya vinapatikana, mnadani unapata vipuri vya magari, sabasaba bidhaa za urembo na vipidozi n.k kwa maana nyingine ndiyo kupata bidhaa au huduma under one roof au boarder at one stop center.
 
Catholic na Islam ni dini moja.
Dini moja ya wapi? Catholic hawanunui hovyo hovyo wale na hawanunui miguu miwili, wewe angalia hata humu kwenye makazi mapya wapo na maeneo yakueleweka.
 
Ila vile vipaza sauti ndio vya kuvumiliwa? Wewe mwehu nini?

Hapo kilichobaki ni kufungua bar tu, kila mtu aingie panapomuhusu!
Jaribu kuweka hiyo bar Kama utamliza japo robo balimi kabla hujakumbana na amsha amsha...sisi hatutakagi ujinga..
 
Back
Top Bottom