Nimefanikiwa kuwauzia kanisa na msikiti eneo moja

Waislam dheheb gan sio sunni
 
Yaani wewe utaleta machafuko eneo hilo
 
Dini za wajukuu wa Ibrahim lkn wananuniana
Nalog off Z
 
Maeneo ya kuabudia kama kanisa na misikiti hupimwa na kuidhinishwa na wizara ya ardhi kwa matumizi hayo! Hivyo acha kutudanganya.Labda kanisa la matuŕbai na vitu viwili au msikiti wa mtu mmoja!
Misikiti/makanisa uku inajengwa hadi vichochoroni hiyo wizara yako imelala
 
[emoji23][emoji23][emoji23] huyu mwana namkubal kinoma
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…