Nimefanya jambo la kijinga sana,sijui agent ananifikiriaje


Mweeeh ndaga fijooo....

Ulimpatamo mdada kiuteleziiii.......

Ndio maana uko kamjanja saanaaa ...!!😜
 
😂😂😂😂😂😂😂😂
Maajenti wapuuzi sana, walinilia buku mbili hivi hivi kwenye Shabiby Ubungo! Muda wa kuondoka kaniletea kibibi sijui kina kisirani gani, sitaki tena huo ujinga. Ukumbuke ajenti yeye anabaki stand
 
Dah, nilipewa siti moja na pisi kali agent wa shabiby kutoka Mtwara to dodoma via dar kabla haujasitisha huduma.
Sikuwa na mbwembwe kilichomchanganya iPhone 8+ red kipindi ndio zinaingia, safari ilikuwa tamu sana
 
Maajenti wapuuzi sana, walinilia buku mbili hivi hivi kwenye Shabiby Ubungo! Muda wa kuondoka kaniletea kibibi sijui kina kisirani gani, sitaki tena huo ujinga. Ukumbuke ajenti yeye anabaki stand
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnaliwa pesa kwa kuwaza ujinga , kwan hizo pis kali kitaan kwenu hazipo
 
Pisi kali[emoji196][emoji196][emoji196]
 
Washabiki wa simba na Tundu Lissu hao
 
Maajenti wapuuzi sana, walinilia buku mbili hivi hivi kwenye Shabiby Ubungo! Muda wa kuondoka kaniletea kibibi sijui kina kisirani gani, sitaki tena huo ujinga. Ukumbuke ajenti yeye anabaki stand
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ndio wewe! nishampa bibi mmoja siti karibu yako, subiri kesho uone.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…