Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Nimemuona Corona hapo!πππWee[emoji1787]View attachment 1709028
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1545]Wee[emoji1787]View attachment 1709028
Ana msambwanda??[emoji38]Nimemuona Corona hapo![emoji38][emoji38][emoji38]
Sasa nimeelewa......
Ilikuwa nikisikia mtu amebaka mfugo nilikuwa nashundwa kuelewa..... anaanza anzaje....
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaNamsikilizia mleta mada atoe mwongozo
[emoji23][emoji23] haya mbwangaBumbuli kwezitu
kibaskeli cha Dar-MwanzaTafuta bus linaitwa phoenix madem kma wote
Bibi mapengo weye
Kama hilo bus linatoka Dar utapata siti ya bench ndo ukome hahaaa nakutania banaAnyway lakini poa tu.
Nimetoka kukata ticket hapa Morogoro nina safari ya Mwanza kesho. Ghafla nikawaza toka mwaka uanze sijakaa siti moja na pisi kali. Kila nikisafiri nakaa na mabroo tu.
Ghafla nikapata akili,hivi siwezi kumpa tip agent aniweke siti moja na pisi kali? Nikajitoa ufahamu,nimempa agent buku 3 ili akipata pisi kali inakuja kukata tiketi aiambatanishe hapo kwenye siti yangu.
Agent nakutegemea sana broo. Kesho nitawapa feedback yatakayojiri
Hapo usiangalie hilo takko. Angalia movement ya Kiuno!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kwisha habari yakoYana kazi yake maalum, niwaacheee nikalisakate libeneke mie ...π
Toa sasa huo mrejesho hahahunajua unaninyima raha nashindwa kutoa mrejesho. umenipiga pini kabisa
Narudi kesho.Ukiwa unarudi tuambizane
Ndio nipo kwenye siti tayariNarudi kesho.