Ben siasa za majukwaani haziwezi siasa zake zinaishia mitandaoni tu
pole sana kwa maumivu uliyonayo, amewapiga za uso!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ben siasa za majukwaani haziwezi siasa zake zinaishia mitandaoni tu
It is down! Just go the young onesSafari yako ni safari yangu, Safari yangu ni safari yako, Safari yetu ni safari ya Watanzania.
Twende Bungeni na Ben Saanane!
Teh Teh hakika Bavicha ni futuhi ina maana mara hii ben sio msaliti tena?
Selasini ni mbunge makini sana wanarombo wanampenda ben aendelee na kazi yake ya kubeba sumu
Kamanda nimefurahishwa kwa uamuzi wako. Naahidi kukupatia mchango japo wa kuchapisha hii makala yako ili wale wa vijijini- kuanzia Mrere hadi Rigicha kule mkoani Mara, wapate nakala. Naamini si wote wote wenye kupata huduma hii ya mawasiliano ya kisasa ya intaneti. Nanuia watambue dhamira yako njema ya kuwatumikia. Mungu akubariki sana.
Vijana wa bavicha Hovyo kabisa yani wewe pamoja nakupewe fursa zote hizi za elimu na serikali lakini ndio unaongoza kuitukana serikali..uwe na adabu..
Jana tu uliposikia anahamia ACT ulikuwa unamsifu humu,we kweli kilazaBen siasa za majukwaani haziwezi siasa zake zinaishia mitandaoni tu
Twende zetu wote na kura yangu ipo tayari kabatini inakusumbilia.
swissme