Kk ben,kwanza ongera kwa uamuzi wako mzr,pili ongera kwa kukaa kimya kuto jibu ile thread ya kipuuzi,binafsi sina chama ila nakukubali sana,na pia kwa moyo wote umepongezwa na kk ritz pia kwa moyo wake wote bila kujali tofauti zenu za kichama,hii inaonesha ni jinsi gani unathaminiwa kwa michango yko na mategemeo mengi toka kwako,lkn pia nikwambia kitu ndani ya chama chochote lazima kuwe na makundi hasimu,laxima uwe na marafiki na maadui pia coz hata mungu anao maadui sembuse binadamu sisi?.Hayo makundi yasikurudishe nyuma,lkn pia ndani ya ma pro cdm,nadhani umewaona wanafiki zako kupitia ile thread ya kipuuzi,watu kama akina shardcole ni watu mhm sana kwako,hawakuvunjika moyo,lkn pia wale wengne ma pro cdm wenzako waliokuponda,usiwahukumu wote kwa mabaya wanakupenda,wanajua umhm wako na walikuwa wanaumizwa na kuhama kwako so wakakosa uvumilive kama shardcole hawakuwa na njia nyingne zaidi ya kukulalua ili kukilinda chama chao,ni ndg zako hao. Lkn pia nakuhakikishia ukijitambua na kuwa na hoja presentation siyo kz ni uzoefu tu na baadaye utakuwa vzr so usiogope wanaosema ben wa jf hawezi jukwaani,mda ukifika ntakupa support yang ya mali,binafsi wewe na pasco humu jf nawakubali sana.