Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la heri Ben kwenye ndoto zako za kugombea ubunge.
Loh! kumbe Ben 2 ok'lock ni mchaga!
Mkuu kwahiyo ile sumu sasa ni direct kwa spika siyo zitto tena lakini mlangoni pale bungeni kunamashine sijui kama utaingia nayo ndani.
Yericko Nyerere, Asante sana komredi wangu
Makamanda punguzeni dozi mtamuuwa Ayatollah kwa presha jamani
Maelezo marefu sasa, sisi wavivu wa kusoma tumeshindwa kuelewa ni Jimbo gani. Ingekuwa vizuri ukaweka wazi au ili tujue tuna ku support vipi.Yericko Nyerere, Asante sana komredi wangu
Keep it up! Na hongera kwa uamuzi sahihi. Ila nikurekebishe kidogo kuhusu fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo. Zile fedha za serikali kama fedha zingine za maendeleo na zinatumwa Katika Ngazi za Halmashauri kwa utaratibu ule ule wa fedha zingine za Halmashauri na matumizi yake yanasoimamiwa na Mkurugenzi na inakaguliwa kama fedha zingine za serikali.