Nimefanya mapenzi na boss wangu, sijatosheka kabisa
Usiku wa kuamkia leo, mfanyakazi mwenzetu alijitwalia jiko, kama katibu wa kamati ya maandalizi, nilihakikisha natoa ushirikiano kwa wajumbe ili tukio lifane.
Mkuu kazini inatakiwa uwe kondoo haswa Kwa huyo manzi , la sivyo kibarua kitaota violencely
 
Ni mwiko kabisa kuanzisha mahusiano ya kimapenzi sehemu ambayo unafanya kazi masaa zaidi ya 6.
Kama ni kweli umefanya hivi BELIEVE ME, itakugharimu na kuna siku utajuta kwanini ulifanya hivi.
Hakika, ni mwiko...mimi huwa nasema;
1. Ofisini/kazini
2. Jirani-- hasa wachepukaji.
3. Maeneo ya ibada, kanisa/msikiti.
Mwiko kuanzisha mahusiano na watu wa maeneo hayo.
 
Mkuu, yaani mambo yamekuwa marahisi mno mno. Japo exception zipo, kuna wadada hadi uwavue uwe umefanya kazi ya ziada mno, lakini wengi wao kwa sasa ni swala la kuelewana tu.
Wanawake utoa mwili wao kama shukrani au kukutunuku asante ya jambo fulani
 
Hapo ndio laana yqnnchi ilipolala akili kukaa uchi na uzinzi. Bumbafu sana
 
Boss siku zote yuko juu ya wafanyakazi wake. Hujafanya mapenzi na boss wako ila BOSS WAKO KAFANYA MAPENZI NA WEWE. Boss kakutumia na mshahara ule ule wa ofisi na mbali na kuwa mwanaume umeliwa na boss 😬
🙂
Na ategemeee kuwa mtumwa wa boss ataki ategemeee visa,na mwanamke akikuchukia sehemu ya Kazi utakoma.
Asubirie tu part two.
 
Vijana wanaangamia Kwa kukosa maarifa

Na kinga haijatumika hapo
 
Mkuu, yaani mambo yamekuwa marahisi mno mno. Japo exception zipo, kuna wadada hadi uwavue uwe umefanya kazi ya ziada mno, lakini wengi wao kwa sasa ni swala la kuelewana tu.
Yaani imekuwa ni mtelezo sana Hali inatisha
 
Back
Top Bottom