Ivi kumbe VETA nao sikuhizi kuna kozi za mapenzi ..... nyuzi zako zinatutia genye mzee
 
Sio kizembe mkuu kuna watu ni wapole tu automat huwa wana tabia ya kuwaamini wake zao. Ngoja nikupe stroy moja kuna mdada aliolewa na jamaa yake yani jamaa anawivu kupindukia na ukimuona lazima mwenyewe uogope maana hata akisimama na mke wake ukawa unaongea mke akianza kuchangia basii haichukui sekunde anamuondoa.
Kuna siku kifupi tulijikuta kimapenzi baada ya kuwa tuna piga story sana kuhusu yeye na ndoa yake, basi tukaanza kudinyana sana yani ilifika hatua ni kila siku mchana lazima nipewe iwe isiwee hadi akaanza kupoteza ham na mme wake.
Dada ni mtu wa kanisa so jamaa ana msindikiza mpaka kwa wanakanisa wenzake yeye anarudi nyumbani in short mke hana uhuru yani hata akitoka kwenda dukani akichukua sekunde jamaa anamfuata nyuma.

Ila amini nakuambia pamoja na kulindwa kote na ukali wa jamaa kushika simu na kukaa nayo week nzima hajawaii ku doubt wala kuhisi mahusiano yoyote na mke wake japo napewa kila siku.
So inategemea una play vipi na story iko vipi, ukitaka kuepuka yoyte usiwe na ratiba muhimu mke wako asikujue ratiba zako hiyo inaweza saidia.
 
Sasa moyo unaumaje hapo?

Huyo ni mchba na wala.siyo mke. Hakuna uliyemkosea hapo maana kama.jamaa alitaka huyp awe wa peke yake angeshapeleka posa ili aoe kabisa.

Mkuu endelea kuchakata hiyo mbususu na ukitaka oa kabisa ili kuifaidi kila usiku na ahsubuhi
 
sasa kama mimi tu msoma story nime shtuka kwanini muusika asitende hizoo dhambiii, we tubu tu hapo hamna dhambi..... vipi rafiki yako una uhakika hayuko JF maana hizi kodi ziko wazi sana
 

Kwahiyo umekula tunda kimasihara
 
...tulipishana tu lodge, yeye anatoka kuchakatwa na mie kuchakata! Mpaka leo tunasalimiana. Kabla ya hapo hatukuwa tunasalimiana.
 
Kwa nn ununue! Mnapenda biashara za binadamu nyie...hivi unajisikiaje kumnunua mwanamke kwa ajiri ya kuvhakatana tu
 
Nyuzi kama hizi zimeniweka JF kwa miaka 10 sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…