Nimefanya mapenzi na boss wangu, sijatosheka kabisa
Nilishangaa sana nilivyo mwona maana ni mdada tunaye fahamiana sana, anafanya shughuli za u MC na ana saluni... Ameolewa na jamaa fulani hivi ambaye anasafiri safiri sana.

Basi tukashangaana ikabidi tucheke😂😂😂 kabla ya kugegedana. Akaniambia pale amepanga kwaajili ya hii kazi yake, kwahiyo siku jamaa akiwepo around basi huwa anampa mtu mwingine apatumie kwa makubaliano watakayofanya.
Duuh🤔
Kuna mambo ya ajabu sana!
Yaani, yeye ni MC na pia anamiliki salon, na bado ana danguro lake la siri 🙄🤔
 
Umemalizia vizuri sana wee bwege [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]


Dahh nakuonea wivu mamaeee [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kinoma mwanetu, yaani loh
 
Katika hekaheka za kuchakata mbususu siku moja nikaingia kwenye yale magroup ya telegram kununua mdada. Sasa mimi huwa sinunui demu ambaye hana chumba, siwezi kutuma nauli kwa mtu nisiye mfahamu, mimi ukila hela yangu lazima uliwe unyumba.

Basi nikaangalia matangazo nikaona mdada yuko mkoa ambao nipo, kapiga picha na video kadhaa ila kaficha sura, kwakuwa alikuwa na sifa zote ninazo hitaji, na alikuwa na chumba chake nikaweka oda ya kukutana naye saa 1 jioni mahali alipo.

Jioni nikaenda, ni pembeni ya mji nilivyofika nikampigia akanielekeza nyumba ilipo, aisee ni sehemu poa sana maana unaweza ingia na kutoka bila kuonekana.

Zipo nyumba 3 in 1 na kila moja mlango unatazama sehemu tofauti na nyingine, nikaingia ndani nikabaini upande aliopanga kachukua chumba self na sebule.

Nilishangaa sana nilivyo mwona maana ni mdada tunaye fahamiana sana, anafanya shughuli za u MC na ana saluni... Ameolewa na jamaa fulani hivi ambaye anasafiri safiri sana.

Basi tukashangaana ikabidi tucheke😂😂😂 kabla ya kugegedana. Akaniambia pale amepanga kwaajili ya hii kazi yake, kwahiyo siku jamaa akiwepo around basi huwa anampa mtu mwingine apatumie kwa makubaliano watakayofanya.

Kwakuwa tunafahamiana alinikarimu sana mpaka nikapenda.

Wewe umewahi kununua na kumchakata demu unaye mjua?
Mtakuja kukutana na ndugu zenu siku moja🤣🤣
 
....vijana miaka hii mnafaidi sana, kimasihara za zamani zilikuwa unavizia wakienda kisimani unakata mtama na hapo utapata kimoja tu kwa mbinde.
 
Twende kwenye kisa moja kwa moja...

Siku ya Pasaka ya mwaka huu ndio siku ambayo rafiki yangu alinitambulisha kwa mpenzi wake tulipokuwa hotel X

Mtoto kaumbika asikwambie mtu. Ana huo mtrackle [emoji39] Vichuchu dede, dah! Vimacho duara kama amemeza wida, si mnene si mwembamba, si mrefu si mfupi, si mweupe si mweusi, akikutazama unawezajikuta unamwambia, "shemu! kesho nauza kiwanja cha baba tugawane pesa" lazima mkuyenge ukusimame tu! Mtoto kama vile haji kufa, sauti yake sasa kama ya Rose Mahaba

Wiki mbili zilizopita hawa wapenzi wameanza kuwa na conflicts zisizo na miguu wala mikono. Rafiki yangu alinieleza kuwa alifumaniwa na huyo mtoto mzuri akiwa na sms za mapenzi kutoka kwa mtu mwingine, hivyo binti aliwaka! Nilimshauri kuwa kwa kuwa wao ni wapenzi, basi wamalizane hukohuko, ila rafiki yangu alikuwa akiniomba ushauri wa hapa na pale. Kuna siku niliwaita pamoja na kuzungumza nao kwa pamoja, nilivaa ujaji kwa ofa za bia pale bar! Nikasuluhisha wakakodi na chumba, wakachakatana mbususu. Mimi nikarudi zangu gheto!

Ijumaa hii huyu binti alinipigia simu huku analia akasema baby wake still anamchit na ushahidi anao! Mi nikawa najiuliza, sasa ananambia mimi kama nani usiku huu wote wa saa sita[emoji848] Nikamuahidi kumsaidia kadri niwezavyo! Jana usiku kanipigia tena simu huku akilialia, mimi bila hili wala lile nikajikuta namwambia, utakuja kesho asubuhi kwangu tuangalie tunafanyaje!

Kweli bhana, leo asubuhi saa 2 katokeza ghetoni, nikamkaribisha ndani na kumpatia chai ya rangi na mkate wa Bakhresa! Baada ya kula nikamuomba aeleze kinaga ubaga, kaanza vizuri ila baadae akaanza kulia na kwikwi juu zikimsindikiza. Nikaamua kumfuta machozi kwa viganja vyangu! Muda huo hawezi kuendelea kuzungumza zaidi ya kusema "Naumia moyo". Chozi moja likaangukia juu ya nyounyou, alikuwa kavaa kibode chenye v pana shingoni, nikaamua kulifuta. Mtoto kashtuka, muda huo mkuyenge unatanuka taratibu! Nikajikuta machozi ya hisia yananilenga! Nikasimama, nikamwambia "Pole sana A, njoo nikukumbatie! Kweli akasimama na kuja kifuani kwangu mzima mzima huku viganja vyangu vikisindikiza ule mtrackle kwenye kile kisketi lining!

Baada ya kumkumbatia tukajikuta tunabadilishana mate! Baada ya kumvua, nikafuatisha, kisha kuichakata mbususu yake kwa ustadi mkubwa kutoka VETA. Kwa mara ya kwanza tokea mwaka uanze nimechakata mbususu kwa hisia kali na machozi juu! Sio kawaida yangu kumjali mwanamke kwenye tendo kama nilivyofanya kwa huyu!

Mchezo umemalizika saa saba kasoro! Binti ni mtamu kusema ukweli, na amenipa yote na viuno juu! Kusema ukweli nime enjoy sana!
Kwahiyo utatuzi wa ugomvi wake na mpenzi wake umefikia wapi?
 
Ni mwiko kabisa kuanzisha mahusiano ya kimapenzi sehemu ambayo unafanya kazi masaa zaidi ya 6.
Kama ni kweli umefanya hivi BELIEVE ME, itakugharimu na kuna siku utajuta kwanini ulifanya hivi.
Asikutishe. Wengi tu wanagongana sehemu kama hizo,miaka. Hakuna cha nini wala nani
 
Umenena vyema.

Ila kuna kadada humu karembo kwelikweli kanaitwa Sakayo hivi kalienda wapi?
Cc Shunie
 
Back
Top Bottom