Duuh🤔
Kuna mambo ya ajabu sana!
Yaani, yeye ni MC na pia anamiliki salon, na bado ana danguro lake la siri 🙄🤔
 
Umemalizia vizuri sana wee bwege [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]


Dahh nakuonea wivu mamaeee [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kinoma mwanetu, yaani loh
 
Mtakuja kukutana na ndugu zenu siku moja🤣🤣
 
....vijana miaka hii mnafaidi sana, kimasihara za zamani zilikuwa unavizia wakienda kisimani unakata mtama na hapo utapata kimoja tu kwa mbinde.
 
Kwahiyo utatuzi wa ugomvi wake na mpenzi wake umefikia wapi?
 
Ni mwiko kabisa kuanzisha mahusiano ya kimapenzi sehemu ambayo unafanya kazi masaa zaidi ya 6.
Kama ni kweli umefanya hivi BELIEVE ME, itakugharimu na kuna siku utajuta kwanini ulifanya hivi.
Asikutishe. Wengi tu wanagongana sehemu kama hizo,miaka. Hakuna cha nini wala nani
 
Umenena vyema.

Ila kuna kadada humu karembo kwelikweli kanaitwa Sakayo hivi kalienda wapi?
Cc Shunie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…