Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Wanandoa tujiheshimu katika ndoa zetu hao wadada tuwafanye kama dada/wadogo zetu. kutembea nao ni kuwapotezea malengo yao
Cha msingi tuwaruhusu weekends wakatembee tembee kidogo kabla hawajaanza kujisugua kwenye ncha za sofa kama kale kengine.
 
Hapo kula kwa raha zote. Kabint ukalee mwenyewe waje kufaidi wauza genge? Gonga kaka
 
Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.

Sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa.

Duuh najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee.
Duh ,, wee mjamaa bado tu hujaacha tabia yko ya kuchapa ma house girl?
Nakumbuka toka utoto ulikuwa huchezi mbali nao kila aliyekuja kufanya Kazi za ndani pale kwenu ulishughulika nae.
 
Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.

Sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa.

Duuh najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee.
Hivi karibuni ataanza kudai haki ya kupata mimba.. we subiri tu
 
Hongera kwa kumsaidia house girl mkuu, ukweli wanapataga shida sana sana..
 
Sasa si anajiona sawa na mkeo.Kama kuujua uchi wako anaujua kama mkeo kwann asijione yuko sawa naye ! tena wengi wa hao wadada wana yale mambo ya kinyumbani sasa endelea kumbania uone shughuli yake
 
Back
Top Bottom