Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.

Sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa.

Duuh najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee.
Kwanza mnatumia avatar zenu vibaya, hivi unapotumia jina hilo la umebarikiwa halafu matendo yako si mazuri, unaona wewe mjana ja sana ehee.....
 
We ulitegemea nini? Kinachomtofautisha housegirl na mkeo ni hiyo kitu .... Sasa umeshawaweka level sawa, mpe haki yake
 
Usijute koz ulianzisha mwenyewe sasa malizia koz una juwa kabisa una mke alafu unaenda kwa beki tatu tena
 
Kk kuanzia vita si kazi kazi kuimaliza USA anahangaika nalo Iraq na Afghanistan nk
 
Aisee ilibid nimtimue pale home, maana ilishaanza kuwa kero. ila nimempangia chumba maeneo ya Kawe nikitoka job napitia huko napiga vitu, kati ya bao 1 mpaka 3, kisha naoga nakula cha jioni ndo najongea home taratiibu kama hakuna kilichotokea! Love you beibi!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daah!
 
Kuwa makini lasivyo utapoteza ndoa na kibarua....au hujui kuwa mke anaweza akafanya ukose kazi akiondoka?.
 
Mpe tuu si umetaka kumuonjesha asali kwann arambe mara moja
 
Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.

Sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa.

Duuh najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee.
hapo nyumbani kama mko zaidi ya wanne basi wewe ni kichaa ''utafiti''
 
Aisee endelea kula huyo dada.kama mke mdogo tu kuliko kwenda kuokota makahaba barabarani. Ikiwezekana nipatie mawasiliano yake niwe namchunga ukiwa umerudi kwa mkeo usiku. Infact,ukiwa nao wawili afya ina imarika kama baadhi ya Wazee humu nchini.
 
Back
Top Bottom