Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Sa ingine kuonja housegirl sio mbaya.nakumbuka miaka flani wife alileta fitna nimemtafuna housegirl wakati bado.
baadae nikamtawanya na alikua mtamu balaa
 
Hii mada na hasira wanazoleta wadau wengi hapa zina dalili za unafiki pia. Nadhani nafsi zinawasumbua wengi kutokana na nyama haramu wanazotafuna na wameamua kusafisha sura kwa kumpiga mawe jamaa. Na Yesu aliliona hilo kwa waliotaka kumpiga Magdalena kwa mawe. Ukweli ni kuwa wanadamu wengi wanafanya uovu mwingi ila taswira wanayoitoa hadharani ni ya kuigiza!!
 
Ulidhani once and for all? mtu ulisimamia kuchwa ukamaliza ufundi wote kwenye mwili wa mtoto wa mwanaume mwenzio sasa endelea kucheza segere.
 
kaka blessings mnaendeleaje na Beki3? hope umeshaoa rasmi maana kwa kasi ile bila shaka analea mtoto kama sio wa 2 basi wa 3.
 
mmh kwa hapo umemkosea heshima mkeo maana huyo binti hatamuheshimu tena, akijua kuwa hana jipya maana mpini unaomkaza nao umemkaza pia, so hakuna heshima.
 
Bora hata ungeenda huko barabarani ukaokota hata kahabah kuliko ulivyoamua kufanya ngono na huyo House girl.
 
Huyo beki tatu vepeeee anatak kula sawa na mam mwenye nyumba,na ww kwann umemdharau mkeo hd utembee na dada wa kazi jamani,ukame au tamaa?
 
Aisee ilibid nimtimue pale home, maana ilishaanza kuwa kero. ila nimempangia chumba maeneo ya Kawe nikitoka job napitia huko napiga vitu, kati ya bao 1 mpaka 3, kisha naoga nakula cha jioni ndo najongea home taratiibu kama hakuna kilichotokea! Love you beibi!!
 
Back
Top Bottom