Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

Ongea na mke wako amuondoe bila hivyo utaivuruga hiyo ndoa si muda na vingi Sasa Hivi ni vichawi,
Hata hili swala la Ndoa nyingi kuwa na migogoro na maugomvi yasiyo na kichwa wala miguu,
Wasichana wa kazi nao ni tatizo vimekuwa vichawi sana.
 
Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.

Sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa.

Duuh najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee.
Mama kule kijijini amepokea taarifa sasa anahangaika kutafuta fundi wa kusambaratisha Kasiri, Jiandae kurogwa Mwanajamii mwenzetu!!
(Wanaume tutajitakiaga kurogwa)
 
Back
Top Bottom