Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitambo sanaUshaliwa kweli!?
😁😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka mno 🤣🤣🤣JF kuna pisi mbovu sana[emoji23][emoji23][emoji1316][emoji1316]
😂😂...masikhara hayo!Kitambo sana
Niamini mimi 😂😂😂...masikhara hayo!
NakaziaEndelea kulala nae, na msisahau kushtuana mkojoe msije kujojoa kitandani
😂😂..Niamini mimi 😂
Tukusaidie nini mkuu. Ndomaana mademu wa humu wanapotongozwa na watu wa humu huwa hawakubali wanaogopa mambo kama haya ya kutangaza. Aya tuwekee picha yake tumuone
Huki ndio nini sasa, unafikir Kuna Mwanamke anapenda kutangazwa hivi? Haujatumia hekima,kumbuka wengine wanatafuta wachumba humu watajikuta wanakataliwa Kwa sababu YakoKwakifupi tulikutana Facebook, alikuwa na bidii ya kupost stories, nikamtongoza akaingia kwenye 18. Siku yakwanza kutoka naye niligundua anakuwa busy sana na simu, badae nilitoka kidogo wakati narudi nikakuta yupo kwenye app ya JF anatype kitu.
Sikushtuka wala kuuliza chochote, appointment yapili ilikuwa jana ambapo nilifanikiwa kugegeda papuchi yake. Aisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.