Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, nani amempa UKIMWI Mwenzake?Kwakifupi tulikutana Facebook, alikuwa na bidii ya kupost stories, nikamtongoza akaingia kwenye 18. Siku yakwanza kutoka naye niligundua anakuwa busy sana na simu, badae nilitoka kidogo wakati narudi nikakuta yupo kwenye app ya JF anatype kitu.
Sikushtuka wala kuuliza chochote, appointment yapili ilikuwa jana ambapo nilifanikiwa kugegeda papuchi yake. Aisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.
Kwakifupi tulikutana Facebook, alikuwa na bidii ya kupost stories, nikamtongoza akaingia kwenye 18. Siku yakwanza kutoka naye niligundua anakuwa busy sana na simu, badae nilitoka kidogo wakati narudi nikakuta yupo kwenye app ya JF anatype kitu.
Sikushtuka wala kuuliza chochote, appointment yapili ilikuwa jana ambapo nilifanikiwa kugegeda papuchi yake. Aisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.
Nimecheka mno [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Njoo inbox tucheck movie ngoja na mimi nitest zari.ndiyo kwanza shule zimefunga sahivi, hadi sensa ipite tutajionea mengi.
utest zari gani tena?Njoo inbox tucheck movie ngoja na mimi nitest zari.
wale waleM. Pia nimemchakata demu wa jf tena yey ndio kajiunga jf kbla yangu na nilimchakta na Wala sikutangaza na mpk sas namla na nin muudhuriaji San wa humu
Kamekimbia na kashawaharibia watu PM uko, kama kuna mtu alikuwa anafikiriwa hapa ishakula kwake tenaAfu kamekimbia
🤣🤣Endelea kulala nae, na msisahau kushtuana mkojoe msije kujojoa kitandani
Kwani huu uzi hujauelewa mi nimefanya random sampling [emoji1787][emoji1787]utest zari gani tena?
Depal hilo jimbo nalitaka niliendeleze mwenyewe.Endelea kulala nae, na msisahau kushtuana mkojoe msije kujojoa kitandani
Huyu mleta mada kashaniunguzia si utahisi na mimi nitakuandikia uzi humu.Mpaka shule zifunguliwe kazi ipo
Mi mwenyewe kashanikata stimuKamekimbia na kashawaharibia watu PM uko, kama kuna mtu alikuwa anafikiriwa hapa ishakula kwake tena