Nimefanya mapenzi na Mwanamke wa JF!

Nimefanya mapenzi na Mwanamke wa JF!

Status
Not open for further replies.
Kwakifupi tulikutana Facebook, alikuwa na bidii ya kupost stories, nikamtongoza akaingia kwenye 18. Siku yakwanza kutoka naye niligundua anakuwa busy sana na simu, badae nilitoka kidogo wakati narudi nikakuta yupo kwenye app ya JF anatype kitu.

Sikushtuka wala kuuliza chochote, appointment yapili ilikuwa jana ambapo nilifanikiwa kugegeda papuchi yake. Aisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.
Je, nani amempa UKIMWI Mwenzake?
 
Kwakifupi tulikutana Facebook, alikuwa na bidii ya kupost stories, nikamtongoza akaingia kwenye 18. Siku yakwanza kutoka naye niligundua anakuwa busy sana na simu, badae nilitoka kidogo wakati narudi nikakuta yupo kwenye app ya JF anatype kitu.

Sikushtuka wala kuuliza chochote, appointment yapili ilikuwa jana ambapo nilifanikiwa kugegeda papuchi yake. Aisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.

Hawa ndio wanao tuharibia
 
Looh sasa rasmi hz shule zinaelekea kuzimisha ndoto ya kugegeda mtu humu. Hv zinafunguliwa lini kwani🥶🥶
 
Yule mywangu
Fb hatumiagii


Oh nmepona[emoji16][emoji16]
 
Kazi kweli kweli [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom