colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,912
We mjamaa ww unanichekesha sna aiseeNa ukifanya sana ngono kama alivyofanya nayo unapata madhara papo hapo..kama hivyo mchizi kaungua tayari..ndio basi tena
Ha ha ha ha haKama una kibamia alafu manzi alikuwa na gunia huenda ukawa mesalimika mkuu
Hakuna kitu kabaya kama kumnyooshea mwenako kidole aiseeWatu hawana utu,wanadhani wao wapo salama kumbe bado Safar inaendelea
Na imani utakuwa salama ila nenda kapime mkuu punguza uogaKweli tena ilikuwa mara moja tu mara demu akagairi
Kapime sisi huku hatuwezi kujua kama ulipata madhara au lah. Hapo kupima ndio kutakupa jibuKweli tena ilikuwa mara moja tu mara demu akagairi
hata miti na wanyama wanakufa itakua wanadhambi sanaWarumi 6:23........mshahara wa dhambi ni mauti![emoji53][emoji53][emoji53]
NdioKuna kipindi fulani hivi kama mwezi wa 8 nilikuwa katika mahusiano na binti mmoja hivi, kumbe bila ya mimi kujua yule binti ana HIV+ na siku tunafanya mapenzi alikuwa anasitasita nadhani nafsi yake ilimsuta kwa sababu sikuwa na condom, nilipoingiza tu mara moja hakutaka niendelee tena
Sasa juzi kati ndo napata habari kuwa yupo kwenye dozi.. Sasa wakubwa na wenye uzoefu katika maswala ya afya je huenda na mimi nitakuwa nmeshakuwa affected au lah..??
Natanguliza shukran na Mungu ambariki kila mmoja atakaye toa ushauri wake kwa moyo mmoja..
Mkuu sio fresh kumsema hivi mtu ambae tayari alishakosea na yupo ktk msongo wa mawazo anaweza kujidhuru bure. Mshauri nini afanye kupunguza madhara au kujiokoa kwani anaweza kuwa bado haja ambukizwa.Apo ndio utajua umuhimu wa chaputa.. Umeukwaa c mnajifanyaga vibolodinda
Yah sure sure ni kweli...namshauri akapime awe na uhakika zaidiMkuu sio fresh kumsema hivi mtu ambae tayari alishakosea na yupo ktk msongo wa mawazo anaweza kujidhuru bure. Mshauri nini afanye kupunguza madhara au kujiokoa kwani anaweza kuwa bado haja ambukizwa.
Kuwa serious mkuu,mauti inayozungumziwa hapa siyo ile kufa ya kila siku tunayoijua!![emoji23][emoji23][emoji23]hata miti na wanyama wanakufa itakua wanadhambi sana
ni ipi sasa,ebu fafanua basKuwa serious mkuu,mauti inayozungumziwa hapa siyo ile kufa ya kila siku tunayoijua!![emoji23][emoji23][emoji23]