GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wewe una miaka mingapi?Sasa mwanamke wa miaka 49 ateswe na mapenzi kwanini? Huyo atakuwa bado ana akili za kitoto.
Asante.Sasa mwanamke wa miaka 49 ateswe na mapenzi kwanini? Huyo atakuwa bado ana akili za kitoto.
Mkuu post yako hii imenichekesha sana.Na hao ukiwaumiza probability ya kukuloga ni 89%.
Kweli wapo kede, but wenye vigezo wanavyovitaka au wale wanaowahitaji kwa ajili ya kuzisuuza nafisi na roho zao ndo wachache.Ni kweli na wangejua wanaume wapo kede wangeacha kuwa na pressure kabisa yaan
Kwa Dada zako Wanaozeekea tu Kwenu.Huu utafiti umeufanyia wapi?
Huo ndo ukweli. Usicheze na hisia zao kabisa mkuu au kaaa kwa machale.Mkuu post yako hii imenichekesha sana.
Nimecheka sana kwakuwa umesema Ukweli wote na Binafsi ni Mhanga wa Kukoswakoswa 'Kurogwa' na Wanawake Wawili ambapo walichokuwa hawakijui tu ni kuwa hata Mimi pia ni 'Mrogaji' vile vile tena Kuwazidi ( Nawazidi )Huo ndo ukweli. Usicheze na hisia zao kabisa mkuu au kaaa kwa machale.
Ni kweliKweli wapo kede, but wenye vigezo wanavyovitaka au wale wanaowahitaji kwa ajili ya kuzisuuza nafisi na roho zao ndo wachache.
Na ndiyo huwa Wepesi pia Kuvua Chupi.Mwanamke akiwa above 30 kama hajaolewa anakuwa depressed lakini kwa nje anaonekana sawa?