humility21
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 448
- 622
Sawa sawaNa ndiyo huwa Wepesi pia Kuvua Chupi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaNa ndiyo huwa Wepesi pia Kuvua Chupi.
Ndio maana rate ya single mothers ipo juu sana.35 Umeenda mbali sana mkuu, kuanzia 30 tu wanaanzaga kuteseka. Kuamini process sio jambo rahisi wengi wana wanatakaga matokeo ya kufumba na kufumbua, mambo ya process sio ishu yao na ndo maana wengi huamua kutafuta mwana na kuzaa basi wanaendelea kulea....... usingo maza
🤣 🤣 🤣 🤣Na ndiyo huwa Wepesi pia Kuvua Chupi.
Rudisha kuanzia 30 na ndio wanaongoza kwa kutumia ndumba yani ukizubaa umekuwa ndondocha..Nimegundua ya kwamba 95% ya Wanawake wenye Umri kati ya miaka 35 mpaka miaka 49 ndiyo Wanateseka zaidi na Mahusiano waliyonayo sasa na wengi Wao huko nyuma waliwapata Wapenzi ( Marafiki ) wa dhati wa Kimaisha ila waliwakataa na Kuwadharau kwakuwa walikuwa hawana Kipato ( Pesa ) na Kukimbilia Wanaume wenye Pesa ( Kipato ) ambao ndiyo 'wamewajeruhi' sana Kimahusiano.
Je, GENTAMYCINE kwa Utafiti wangu huu Binafsi nami nimepatia ( nimeupiga mwingi ) kama Siku 100 za Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan au niendelee Kufanya Utafiti zaidi ili pengine niyajue na mengineyo?
Poleni sana 'Wanawake' wa Umri tajwa.
Ipo juu kama ongezeko la Kaswende KimbokaNdio maana rate ya single mothers ipo juu sana.
Wanawake wanaongoza sana kwa ushirikina hasa ishu zinazouhusu mahusiano yaoRudisha kuanzia 30 na ndio wanaongoza kwa kutumia ndumba yani ukizubaa umekuwa ndondocha..
hiyo scenario inatwa "hitting the wall" . nahii inawakuta kuanzia 30yrs. enzi za ujana wao wakiwa kweye 20s huenda walikutana na potential husbands material..Nimegundua ya kwamba 95% ya Wanawake wenye Umri kati ya miaka 35 mpaka miaka 49 ndiyo Wanateseka zaidi na Mahusiano waliyonayo sasa na wengi Wao huko nyuma waliwapata Wapenzi ( Marafiki ) wa dhati wa Kimaisha ila waliwakataa na Kuwadharau kwakuwa walikuwa hawana Kipato ( Pesa ) na Kukimbilia Wanaume wenye Pesa ( Kipato ) ambao ndiyo 'wamewajeruhi' sana Kimahusiano.
Je, GENTAMYCINE kwa Utafiti wangu huu Binafsi nami nimepatia ( nimeupiga mwingi ) kama Siku 100 za Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan au niendelee Kufanya Utafiti zaidi ili pengine niyajue na mengineyo?
Poleni sana 'Wanawake' wa Umri tajwa.
Na wengi wakishaanza kwenda uko kuona mafanikio ni ngumu sana,wanakuwa style ya kina dada zetu wakina wema mpaka leo anakaa nyumba ya kupanga.Wanawake wanaongoza sana kwa ushirikina hasa ishu zinazouhusu mahusiano yao
Hasa wa Kipare, Warangi, Wasambaa, Wanyantuzu, Wazaramo, Wanyaturu na Wamakonde.Wanawake wanaongoza sana kwa ushirikina hasa ishu zinazouhusu mahusiano yao
Na ili Kuukamilisha Wote nililazimika pia 'Kuwabandua' Wanawake mbalimbali wa Umri huo tajwa ili nihakikishe na nimefanikiwa nao 99.99999% Mkuu.utafiti umekamilika kabisa huu.
😂😂😂😂😂😂 we jamaa hii bangi itakuwa ya Masaki ileNimecheka sana kwakuwa umesema Ukweli wote na Binafsi ni Mhanga wa Kukoswakoswa 'Kurogwa' na Wanawake Wawili ambapo walichokuwa hawakijui tu ni kuwa hata Mimi pia ni 'Mrogaji' vile vile tena Kuwazidi ( Nawazidi )
Wapo wengi lakini wapo wanaume wa namna gani? . Wanaweza wakawa wengi lakini siyo hao utakao ww.Ni kweli na wangejua wanaume wapo kede wangeacha kuwa na pressure kabisa yaan
Sasa mkitaka wote muwe na wenye hela sie maskini tutabakia na nani? 😂😂😂Ni kweli
Wakiongozwa na Mpyatu ( Masikini ) Mkuu GENTAMYCINE.Sasa mkitaka wote muwe na wenye hela sie maskini tutabakia na nani? 😂😂😂
hiyo scenario inatwa "hitting the wall" . nahii inawakuta kuanzia 30yrs. enzi za ujana wao wakiwa kweye 20s huenda walikutana na potential husbands material..Nimegundua ya kwamba 95% ya Wanawake wenye Umri kati ya miaka 35 mpaka miaka 49 ndiyo Wanateseka zaidi na Mahusiano waliyonayo sasa na wengi Wao huko nyuma waliwapata Wapenzi ( Marafiki ) wa dhati wa Kimaisha ila waliwakataa na Kuwadharau kwakuwa walikuwa hawana Kipato ( Pesa ) na Kukimbilia Wanaume wenye Pesa ( Kipato ) ambao ndiyo 'wamewajeruhi' sana Kimahusiano.
Je, GENTAMYCINE kwa Utafiti wangu huu Binafsi nami nimepatia ( nimeupiga mwingi ) kama Siku 100 za Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan au niendelee Kufanya Utafiti zaidi ili pengine niyajue na mengineyo?
Poleni sana 'Wanawake' wa Umri tajwa.
Umepata kabisaHasa wa Kipare, Warangi, Wasambaa, Wanyantuzu, Wazaramo, Wanyaturu na Wamakonde.
Na waliofikia level ya bora nioleweSasa mkitaka wote muwe na wenye hela sie maskini tutabakia na nani? 😂😂😂
Hahahah haya bana lets meet at the topNa waliofikia level ya bora niolewe
Wanapatikana mkuu,maana kipindi cha wanawake kuomba kujishikiza kwa mwanaume mmoja bado hatujafikiaWapo wengi lakini wapo wanaume wa namna gani? . Wanaweza wakawa wengi lakini siyo hao utakao ww.