OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #21
Mzee wa show umekuja kunikatisha tamaa badala ya kunitia moyo 🤣🤣🤣🤣Ni sawa na wale wanaosema
"Kuanzia leo naacha pombe"[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa show umekuja kunikatisha tamaa badala ya kunitia moyo 🤣🤣🤣🤣Ni sawa na wale wanaosema
"Kuanzia leo naacha pombe"[emoji28]
Heri lakini kuwa katambua kuwa si vizuri kupoteza pesa kisa Papuchi. Ni mwanzo mzuri, Mungu atamsaidia kuliko kutokutambua kabisa.Ni sawa na wale wanaosema
"Kuanzia leo naacha pombe"[emoji28]
Karibu kwenye chama cha wastaafu mkuu.Siku ya jana maza akanipigia simu kunipa taarifa za msiba wa ndugu wa ukoo. Kwa wiki sasa ninauguza mdogo wangu. Kutokana na changamoto ya kuuguza maza akaniambia mwanangu wala usitume rambirambi nitakulipia tu elfu 10 maana najua unatumia hela kuuguza. Huruma ya mama.
Wakati napewa hizi taarifa nilikuwa na mchepuko pembeni umeshakula mbuzi na wine karibu elfu 30 na bado kuugonga inabidi nichukue room ya 30 plus uchakavu 50 jumla 110 [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Kwa kweli nilijutia sana kitendo kile nikajisemea hii laki ningemtumia huyu mama si angeniombea mema zaidi kwa Mungu?
Najitafakari upya huu mwenendo wa maisha kwa kuhonga na kulisha malaya wasio na shukrani. Ambapo ungetumia ndugu zako kijijini hiyo hela ungepata baraka.
Eeh Mungu nisaidie
Baba J[emoji16][emoji16][emoji16]Ni sawa na wale wanaosema
"Kuanzia leo naacha pombe"[emoji28]
Ndio uoeK atanipa mke wangu itatosha mkuu. Hizo laki nazo honga nikimnunulia chupi na night dress kila wiki atanipa k kwa moyo mweupe
Hii yote inasababishwa kwa kuwa na mbavu ndogo!! Ungekuwa na mbavu nene unatekeleza majukumu yako vizuri kabisa. Hakuna upande utalalamika. Ongeza bidii katika kusaka notiBora umeshituka mzee, mabalaa mengine tunajitafutia.
Mie huwa naanza kuwaza mama yangu, mke wangu kisha wanangu, hapo bado nina mdugu wananitizama, toka nioe mpaka sasa sijachepuka(sio kwamba sitamani la hasha, kuna kitu nimegundua, wanaume haswa hatujaumbiwa kuwa na mwanamke mmoja[emoji23]) ila ndio inabidi nijikaze to the maximum, naiwaza hii laki moja nikimpa mama mzazi 50k waifu nikamganjia 30(haijalishi kkila kitu kipo ndani, lakini hii 30 nimafnyie chochote hata kama ni kumchukulia zawadi), halafu mama mkwe aliyenizalia huyu mtoto mzuri nikampa hata 20.
Sasa hii RESISTANCE kwa huyu ibilisi itadumu mpaka lini.. maana ninajikaza [emoji23][emoji1787]
Umeuliza swali zuri, mgonjwa wetu anaendeleaje lakiniNdugu zako watakupa k mkuu?
Mkuu,Karibu kwenye chama cha wastaafu mkuu.
Tumrudie muumba uzinzi/uasherati haulipi
Haya majuto haya ni Kwa kila mchepukaji.Ajabu nyege zikipanda unasahau[emoji15][emoji15][emoji15]Siku ya jana maza akanipigia simu kunipa taarifa za msiba wa ndugu wa ukoo. Kwa wiki sasa ninauguza mdogo wangu. Kutokana na changamoto ya kuuguza maza akaniambia mwanangu wala usitume rambirambi nitakulipia tu elfu 10 maana najua unatumia hela kuuguza. Huruma ya mama.
Wakati napewa hizi taarifa nilikuwa na mchepuko pembeni umeshakula mbuzi na wine karibu elfu 30 na bado kuugonga inabidi nichukue room ya 30 plus uchakavu 50 jumla 110 [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Kwa kweli nilijutia sana kitendo kile nikajisemea hii laki ningemtumia huyu mama si angeniombea mema zaidi kwa Mungu?
Najitafakari upya huu mwenendo wa maisha kwa kuhonga na kulisha malaya wasio na shukrani. Ambapo ungetumia ndugu zako kijijini hiyo hela ungepata baraka.
Eeh Mungu nisaidie
Mwanamke una busara sana ngoja kwanza umeolewa ?Pombe haijawahi mfilisi mtu kama ana akili
Kwanza kwenye pombe nasikia ndo kwenye madili
Najiona mimi!Siku ya jana maza akanipigia simu kunipa taarifa za msiba wa ndugu wa ukoo. Kwa wiki sasa ninauguza mdogo wangu. Kutokana na changamoto ya kuuguza maza akaniambia mwanangu wala usitume rambirambi nitakulipia tu elfu 10 maana najua unatumia hela kuuguza. Huruma ya mama.
Wakati napewa hizi taarifa nilikuwa na mchepuko pembeni umeshakula mbuzi na wine karibu elfu 30 na bado kuugonga inabidi nichukue room ya 30 plus uchakavu 50 jumla 110 😥😥😥😥
Kwa kweli nilijutia sana kitendo kile nikajisemea hii laki ningemtumia huyu mama si angeniombea mema zaidi kwa Mungu?
Najitafakari upya huu mwenendo wa maisha kwa kuhonga na kulisha malaya wasio na shukrani. Ambapo ungetumia ndugu zako kijijini hiyo hela ungepata baraka.
Eeh Mungu nisaidie