Nimefedheheka sana, nafikiria kuacha kuhonga michepuko

Nimefedheheka sana, nafikiria kuacha kuhonga michepuko

Siku ya jana maza akanipigia simu kunipa taarifa za msiba wa ndugu wa ukoo. Kwa wiki sasa ninauguza mdogo wangu. Kutokana na changamoto ya kuuguza maza akaniambia mwanangu wala usitume rambirambi nitakulipia tu elfu 10

Eeh Mungu nisaidie

Mungu akusaidie, Hauna uwezo wa kuacha dhambi mwenyewe, ila ukimshika Yesu sana utafanikiwa!

Najua watu wengi wanaosema wameokoka wameaibisha na watu kukata tamaa, ila ukiokoka ukasimama utamudu!

Mungu na akusaidie
 
Siku ya jana maza akanipigia simu kunipa taarifa za msiba wa ndugu wa ukoo. Kwa wiki sasa ninauguza mdogo wangu. Kutokana na changamoto ya kuuguza maza akaniambia mwanangu wala usitume rambirambi nitakulipia tu elfu 10 maana najua unatumia hela kuuguza. Huruma ya mama.

Wakati napewa hizi taarifa nilikuwa na mchepuko pembeni umeshakula mbuzi na wine karibu elfu 30 na bado kuugonga inabidi nichukue room ya 30 plus uchakavu 50 jumla 110 [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]

Kwa kweli nilijutia sana kitendo kile nikajisemea hii laki ningemtumia huyu mama si angeniombea mema zaidi kwa Mungu?

Najitafakari upya huu mwenendo wa maisha kwa kuhonga na kulisha malaya wasio na shukrani. Ambapo ungetumia ndugu zako kijijini hiyo hela ungepata baraka.

Eeh Mungu nisaidie
Aiseh badilika sana usiwe kama fulani wa humu michepuko 6 sijui hua anatufunga kamba tu
 
Ila shimo acha leo tu umejuta ila Niko hap mskumbusho Kuna manzi kanyajnyuaa zigoo balaa nataka nakaitee
 
Back
Top Bottom